Asante, Elimu yangu ni Bachelor of Commerce in Accounting, pia nilifanya kazi ya kusimamia shamba la kuku na Ngombe , baada ya hapo nikafanya kazi ya usimamizi wa ghala la nataka yaani mazao Kama Mahindi.
Habari wakuu nimekuja mbele yenu kuomba kazi yoyote ile.
Kwa sasa nipo Mkoani Tanga lakini nipo tayari kufanya kazi kwenye mkoa wowote ule na kazi yoyote ile.
Atayeguswa naomba anipe msaada kwenye Jambo hili.
Asanteni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.