Kitu cha kumshauri rais ni apunguze matangazo kwenye midia. Amezidisha kila dei kwenye TV na ahadi Mpya kwa wakulima na wafanyakazi. Kwa maneno na maelezo anayoyatoa kila siku watu watamchoka haraka na pengine kama kuna dosari ndani ya serikali kama hii ripoti ya CAG wananchi haraka watamtuhumu...
Sasa unatoa challenge au hutaki kudikia mtu akihoji hii ripoti. Mazwazwa wako wengi nchi hii. Huna la kuandika funika kopo lako. Mtu huna ponti ya kuandika bora uache wenye uchungu na nchi yao waongee. Wewe naona una uchungu na ccm, endelea. Kwenye bajeti wanaoumia ni sisi sote bila kujali ccm...
Mwajiri wa kumsaidia Lissu ni bunge la jamhuri na ndiyo iliyomtelekeza. Mbowe si spika na sijui anahusika vipi hapa na matibabu ya Lissu kwa kulipia gharama. Huyu ngedere na habari yake angemlalamikia spika
Kosa la kina Maria Sarungi ni nini jamani? Hatuenelei kwa ushabiki na majigambo ni mengi mno kusifia hasara. Hiyo bajeti ya kuileta hiyo Ndege sijui kama unajua aliyeipanga na hiyo hela imetoka fungu gani. Tufurahie tu kila jambo iko siku tutakimbiana
Acha dharau, ina maana katika serikali mzima umeona hakuna wanaoweza kufikiri hadi waje wayahudi? Umelogwa naona, siyo bure wewe. Hao wayahudi unaowazungumzia ni wazaliwa wa Marekani na siyo kama unavyowasemea. Tuna watu wazuri kama wao kina Prf. Muhongo ila hatuwatumii tu
Kiongozi huelewi ulichoandika, rais kutowatembelea doesn't mean tunajitosheleza. Mind you, tumekopa sana sana kwao na hivi sasa deni letu limepaa kama roketi. Hawa ndio pillars of the world
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.