leo nilikuwa kufanya manunuzi pale soko la Karume (Dar es salaam) sasa kuna sehemu nikawa nimenunua suluali ya spesho kwa elfu ishirini, na nikarizika kwakutojua bei harisi lakini kwenye pita pita zangu za hapa na pale nikakuta suluali kama ile ile niliyo inunua mwanzo na brand ya kampuni ni ile...
Nisikilize homie
Hapo ilo swala sio rahisi hata kidogo maana unaweza timiza adhima yako kwakulazimisha lakini matokeo yake ni makubwa sana na yataathiri wengi kwa namna mbalimbali ,
Nakushauri kutafuta chanzo Cha huwo uzito wako na ujue utawezaje kurekebisha,
Kama haujamlizia mwali tafuta namna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.