Recent content by happyxxx

  1. happyxxx

    Zuchu unatakiwa kufahamu, ukiingia kwenye mahusiano na Diamond umeingia kwenye vita

    Lakn kwa nini kaka yake diamond aende kwenye kipindi kumsema zuu asilazimishe ndoa km awamtaki si wamalizane nyumbani
  2. happyxxx

    Nataka hii iwe nyumba ya ndoto yangu. Nani anaweza nisaidia makadirio?

    Garage ni gharama nimefikiria kuweka hicho kivuli.
  3. happyxxx

    Nataka hii iwe nyumba ya ndoto yangu. Nani anaweza nisaidia makadirio?

    Kiukweli sina vipimo vya kitaalam hii nyumba nimeiona kwenye Instagram hata nimesahau page yao nikasema moyoni nitajenga niishi hapa na watoto zangu. So nilikuwa nataka estimate za jumla jumla.
  4. happyxxx

    Nataka hii iwe nyumba ya ndoto yangu. Nani anaweza nisaidia makadirio?

    Thanks, I get it now the budget can really go that high. Lakini kwa sasa nataka tu estimate za kawaida quality nzuri ila sio hayo masinki ya mil 5.
  5. happyxxx

    Nataka hii iwe nyumba ya ndoto yangu. Nani anaweza nisaidia makadirio?

    What does the classic finishing include?
  6. happyxxx

    Nataka hii iwe nyumba ya ndoto yangu. Nani anaweza nisaidia makadirio?

    Hii mbona pesa nyingi sana sidhani kama upo sahihi
  7. happyxxx

    Nataka hii iwe nyumba ya ndoto yangu. Nani anaweza nisaidia makadirio?

    Nyumba ya 5 bedrooms Master kubwa 1 Self 3 Single 1 Sitting room, dining & kitchen Study room Laundry Public toilet Store Je kila kitu mpaka inayooneka hapa maybe na finishing ya vitu kama masinki nk. Inaweza gharimu kiasi gani?
  8. happyxxx

    Mbowe v Lissu: Is this the beginning of the end of a united and resilient CHADEMA? Why or why not?

    Mvutano wa madaraka uliopo kati ya Freeman Mbowe na Tundu Lissu wa CHADEMA bila shaka ni mtihani mkubwa kwa chama hicho. Migogoro ya ndani katika uongozi inaweza kudhoofisha chama chochote cha kisiasa, hasa katika demokrasia changa ambapo vyama vya upinzani hukabiliana na shinikizo za nje pamoja...
  9. happyxxx

    Kwanini ni Mbowe na sio Lissu na kwanini CHADEMA haifi?

    Mlimpelekea pesa Lissu asigombee kupitia Abdul sasa mnawaandaa kisaikolojia watu wenu if ikitokea Lissu atamwaga ushahidi. Abdul mnamtukana mitandaoni nyuma ya pazia mnakutana nae mnajadili kupokea pesa zake. Mbowe na chadema wanaowaamini lazima wana mtindio wa ubongo.
  10. happyxxx

    PreGE2025 Tundu Lissu: Nimewasilisha kusudio la kugombea nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA

    Namchukia sana lisu sababu anamuandama sana magufuli akauki mdomo wake kila kitu magufuli anamdhalilisha hajui kusamehe Nitafurahi sana akishindwa na mbowe na iman yangu kwa upinzani itakuwa imerudi Mungu sikia duwa zetu lissu ashindwe na apotee kabisa kwny siasa
Back
Top Bottom