Hbr zenu wandugu, hope mko poa.
Mimi ni maji ya kunde kidogo na my skin is a little bit dry kwa sasa nataka nianze kupaka palmers body cream and oil pamoja na face cream yake.
Kwa anaye yajua haya mafuta vizuri,je ni mazuri kweli au watu wanayapaisha tu?
Aisee hii ni kweli kabisa,watu wengi hususan vijana wanapenda mafanikio ya haraka.Juzi tu nimetoka kujifunza somo la maisha kwamba utajiri hauji kirahisi kama wengi wetu tunavyodhani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.