Jamani watu mnadhambi dah kwahiyo kama nimeolewa na mtu ananinyanyasa na hana mapenzi na Mimi nikae tu kisa nitaitwa single mother..sitakua na thamani wala kuthaminiwa ..majina mabaya yote yangu Jamani mweee
Kwanza nikupe pole ..mmh wanaume Mungu anawaona.. Jamani hivi hamuwezi kuona binti wa kazi ni kama binti yako ,Nje kote unakosa wanawake mpaka uchukue binti wa kazi ? Wanaume kutembea na dada wa kazi ni kuhatarisha MAISHA ya mkeo na watoto wako pia,kwasababu kumbuka dada wa kazi nae ana wivu ...
Tena ukitaka kuivunja ndoa yako jidanganye kuoa mke wa pili.. hakuna Rangi utaacha kuona ..kwanza mngejua ndoa nyingi zimedumu kwa uvumilivu wa wanawake ..wanawake oyeeeeee
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.