Recent content by hansam

  1. H

    Nafasi ya Kazi

    Arusha-Ngarenaibor
  2. H

    Nafasi ya Kazi

    Natafuta mfanyakazi wa Kike kufanya kazi ya Pub, kitengo “Counter” Mshahara ni Mnono, Chakula na Malazi ni Bure. Mawasiliano 0755005362 WhatsApp, 0789633686 Voice
  3. H

    Fixed account za benki na utajiri wa haraka haraka

    Nko Nafanya kaz kwa mtu Na kwa sasa napata 1M kwa mwez sasa nkisema niweke hizi pesa chini ya godoro mpaka nipate mtaj wa kutosha ni sahihi kwel kaka?!
  4. H

    NMB Tanzania Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Ndugu wapendwa ningependa kufaham mambo muhimu/Msingi ya kuzingatia hasa baada ya kufungua hii Fixed Deposit account Je? 1. Unapewa mkataba baaada ya kuifungua ya kiasi cha pesa ulichoweka Na utakachopata?! 2. Endapo kama ikifika Muda let say 3 monthes after depositing Na hawaja kuongezea io...
  5. H

    Fixed account za benki na utajiri wa haraka haraka

    Ndugu wapendwa, Ningependa kufahamu mambo muhimu/msingi ya kuzingatia hasa baada ya kufungua hii Fixed Deposit account. Je? 1. Unapewa mkataba baaada ya kuifungua ya kiasi cha pesa ulichoweka na utakachopata? 2. Endapo kama ikifika muda let say 3 monthes after depositing na hawaja kuongezea...
Back
Top Bottom