Recent content by Hans Mwaipopo

  1. H

    Mafunzo ya kilimo cha kisasa cha greenhouse

    NAHITAJI MSADA Nina greenhouse na nimepanda nyanya, baada ya miezi miwili zimekua hadi kukaribia juu ya paa huku matunda yakiwa baado madogo sana. Lakini kibaya zaidi miche inakauka mmoja mmoja bila sababu ya msingi. Je linaweza kuwa ni tatizo gani?
Back
Top Bottom