NAHITAJI MSADA
Nina greenhouse na nimepanda nyanya, baada ya miezi miwili zimekua hadi kukaribia juu ya paa huku matunda yakiwa baado madogo sana.
Lakini kibaya zaidi miche inakauka mmoja mmoja bila sababu ya msingi.
Je linaweza kuwa ni tatizo gani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.