Huyu binti nilikua namlaumu sana matendo yake.....lakini..nimejua kuwa anamapungufu flan....so watu wanayatumia hayo mapungufu yake...pia..asipopona..yatampelekea pabaya....
Jamani.gadner ni mtendaji mzuri sana na mbunifu....katika mafanikio ya jide kachangia asilimia kubwa sana....tukumbuke mwanamke bila mwanaume mtihani sana.tunatizama upande moja tu...jay dee kupata senti alibadilika..sisi watu wa karibu yake....kabadilika sana.sasa alianza dharau.maamuzi akawa...
Nachoweza sema..bandarini ni sehemu nyeti sana..kila moja anataka kupitisha vyake kwa ugogo wake....hakuna mtu aliefanya kazi vizuri kama ephraim mgawe..lakini fitina za mwakyembe kumuweka kibaraka wake ndio hizi...huyu jamaa alietoka ni remote....ya watu tunaowajua.....hatotokea kama ephraim mgawe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.