Toyota Alex haina tofauti sana na ist mkuu fuata maelekezo yaliyotolewa awali kuhusu ist utaelewa zaidi. Kama hujaelewa karibu kama una swali zaidi mkuu
Ist lita moja inakwenda kuanzia km 16 hadi km 22 kulingana na service ya gari au ukiwasha ac. Na pia kama unaikanyagia sana ili achanganye mapema. Mark II grand inatumia lita 1 kwa km 9 mpaka km11. Kulingana na maelezo niliyotoa hapo juu.
Speed kwa nchi yetu Tanzania ni 80kmph ndio inayoshauriwa kulingana na barabara zetu ijapokua unaweza kendesha hata speed 100 au zaidi kutegemea na dereva je unaweza kuimudu gari yako pindi linapotokea lolote la ghafla barabarani.
Nauza pia magari kuu kuu ila sio screpa ni yal ambayo unaweza kuyatumia bado yapo katika hali nzuri.kwa sasa sina land cruiser mkuu nina harrier old mode,noah new mode,rav4 kili time na nissan dualis mengine ni mapya chasis number.
Mkuu mimi nauza magari yakiwa complete ila kama unahitaji injini na gear box nakushauri uende ilala pale utapata injini na gear box za gari aina zote muhimu uende na fundi wako ambaye unamuamini wewe atakayekukagulia injini na gear box kabla ya kuinunua mkuu.
Hii ni gari kubwa cc3000 hata ukiamua kuendesha kwa siku 5 bila kupumzika gari inauwezo huo hata ukiendesha km 10000 bila kupumzika inauwezo huo.hivyo wala usiwe na wasiwasi.ila zingatia tu kabla ya kuanza safari kuikagua vitu kama maji,oil,upepo wa tairi na kusafisha air clener na mara...
Kama una uwezo ni vyema ukanunua toyota rav4 kuanzia rav4 old model, rav4J au hata rav4 kili time zote ni gari za juu na ni nzuri kwanza ziko juu na upatikanaji wake wa vifaa ni rahisi na bei ni resonable mwisho ulaji wa mafuta ni mzuri na gari ni ngumu na ya kudumu ila tu injini zake hakikisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.