Pole mkuu mimi yalinikuta kama haya lkn mimi sijasubiri mimba kwakweli nilimtema mapema sana ila nashkuru alikuwa mwepes wa kunipa papuchi kiukwel sijateseka kabisa nlikuwa nkikohoa tu yupo geto[emoji23]
***** nadindisha tu apa nifanye mpango na mm nioe mana awa watoto wa promise unaweza ukawa vibaya ukamtumia na nauli af haji anasubir siku una stress zako ndy anajileta ***** unakula kimoja tu unalala zako akitoka apo harudi tena kumbe masika yana msimu wake
Mimi ni kijana wa miaka 26 nilikuwa na mpenzi wangu tuliyedumu kwa miaka 2 nolimpenda sana ila yeye aliniektia.
Tuliishi nikijua lengo la mahusiano yetu ni kuoana nilijitoa kwake kwa kiasi kikubwa sana lakini mwaka huu kwa masikitiko makubwa tukaachana maumivu niliyapata ofcourse mana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.