Recent content by Handbreak

  1. H

    Tundu Lissu awasili mji wa Houston na kupewa mapokezi makubwa

    Mngetaka azunguke kwa wapiga kura msingempiga risasi Tatizo mnadhani wananchi ni wajinga na ccm ( komradhi naona aibu hata kuiandika chama chenu kwa herufi kubwa) ndio werevu. Sent using Jamii Forums mobile app
  2. H

    Wake wa Marais wana nafasi za kusaidia kupambana na changamoto za jamii zetu

    Hivi mbona wakisoma wasifu wa mumewe..wanasema "ana mke na watoto kadhaa" ina naana hawahesabiki? Sent using Jamii Forums mobile app
  3. H

    CHADEMA matatani kwa ufisadi Tarime; Waziri Mkuu aunda Tume ya Uchunguzi

    Alihojiwa, amesema hajaziona/ hazipo Sent using Jamii Forums mobile app
  4. H

    CHADEMA matatani kwa ufisadi Tarime; Waziri Mkuu aunda Tume ya Uchunguzi

    Mimi sipo chadema unakariri na sihitaji kuwajua staff wa bunge ili kuhoji ninachoelewa hakuna yeyote yule bungeni mwenye mamlaka ya kutuziba mdomo Hoja yangu inabaki pale pale Where is 1.5tr? Sent using Jamii Forums mobile app
  5. H

    Anachofanya Lissu ni uhaini

    Uvccm wakiweza kujibu hili ni tag mkuu. Sent using Jamii Forums mobile app
  6. H

    CHADEMA matatani kwa ufisadi Tarime; Waziri Mkuu aunda Tume ya Uchunguzi

    Mjadala unafungwaje na mbunge mmoja kwani hizo pesa zilitoka mfukoni kwake Nani alisema mbunge anaweza kutunyamazisha tusihoji, ametoa wapi hayo mamlaka? Wananchi ndio tunataka kujua kodi zetu zimekwenda wapi? Sent using Jamii Forums mobile app
  7. H

    CHADEMA matatani kwa ufisadi Tarime; Waziri Mkuu aunda Tume ya Uchunguzi

    Najua, ndio maana nikauliza kama umeweza kuzungumzia 9.4b Inakuwaje umeshindwa kuzungumzia 1.5tr? Si zote ni fedha za UMMA? Sent using Jamii Forums mobile app
  8. H

    CHADEMA matatani kwa ufisadi Tarime; Waziri Mkuu aunda Tume ya Uchunguzi

    Mmefanikiwa kuwazuia wasiripoti zile 1.5? Na yule mkurugenzi wa Itigi vipi? Sent using Jamii Forums mobile app
  9. H

    WANAWAKE HAWANA UJASIRI WA KUTUTONGOZA WANAUME.

    Mitara sio dili mzee baba si uniachiemo Khantwe.. Sent using Jamii Forums mobile app
  10. H

    WANAWAKE HAWANA UJASIRI WA KUTUTONGOZA WANAUME.

    Chuhalai Ebu muachie kacha na saa huyu manzi anavihitaji Sent using Jamii Forums mobile app
  11. H

    Dkt. Bashiru: CCM haitavumilia Watanzania kugeuzwa manamba

    Tusaidiane kushangaa mkuu. Sent using Jamii Forums mobile app
  12. H

    Namwonea sana huruma Mpenzi wangu, Ntachomfanya atajuta kunifahamu.

    Haya mambo ya ndoa ni Mungu anapanga mkuu. Mwanamke unayemuoa huwezi kumkimbia wala yeye hawezi kukukimbia. Trust me, kama ndie uliyepangiwa utamwacha leo, utazungukaaa kisha utarudi kwake lkn kama siye, mambo yataisha automatically wala hauhitaji kutumia nguvu nyingi. Sent using Jamii...
  13. H

    Mshahara wa Lissu; Kuna tajiri mmoja duniani ataingia kwenye historia

    Kwani huwezi kutoa hoja bila matusi mkuu? Matusi ndio silaha na udhaifu wako? Sent using Jamii Forums mobile app
  14. H

    Lissu muongo! Rais Magufuli alisema neno kuhusu kushambuliwa kwake

    Kwanini akiteua na kutengua mawaziri haweki kwenye twitter halafu waendelee na kazi? twitter haijawahi kuwa official statement hata siku moja. Yuko sahihi, rais (kama taasisi) haijawahi kusema neno kuhusu shambulio la Lissu Sent using Jamii Forums mobile app
  15. H

    Mtu mwenye ujasiri wa kumtukana Kiongozi wa Nchi!

    "We prayed for him" unamaanisha nini? Unamaanisha sisiemu mlimwombea? Kwamba hujui kauli ya Msukuma kumtaka Lissu afe ni msimamo wa chama chenu kwakuwa hamjakanusha wala kumkemea. Unafiki kitu kibaya sana. Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom