SEHEMU YA SABA....
" BOKO HARAMU!". Nikazungumza huku nikishangaa kule ambako moto mkubwa unawaka, lilikuwa ni jengo la chakula yaani kwenye ukumbi wa kupata chakula, yule msichana mgeni nikamshika mkono wake na kumuinua kwani bado alikuwa amepigwa na butwaa, tukaanza kukimbia kutoka eneo...