Recent content by hancy Abdon

  1. hancy Abdon

    JamiiForums Tanzania Love is a drug abuse

    SEHEMU YA SABA.... " BOKO HARAMU!". Nikazungumza huku nikishangaa kule ambako moto mkubwa unawaka, lilikuwa ni jengo la chakula yaani kwenye ukumbi wa kupata chakula, yule msichana mgeni nikamshika mkono wake na kumuinua kwani bado alikuwa amepigwa na butwaa, tukaanza kukimbia kutoka eneo...
  2. hancy Abdon

    JamiiForums Tanzania Riwaya: See Me (Nione)

    Kasomege ile nimeachia
  3. hancy Abdon

    JamiiForums Tanzania Love is a drug abuse

    SEHEMU YA SITA......... Baada ya kumaliza kujiandaa nikiwa pamoja na wenzangu sasa safari yetu ilikuwa ni kwenda katika tamasha hilo kubwa la kusheherekea miaka takribani 20 ya chuo icho toka kuanzishwa kwake, na ilifanyika kwenye ukumbi mkubwa wa chuo icho,. Nikawa naangaza angaza huko na...
  4. hancy Abdon

    JamiiForums Tanzania Riwaya: See Me (Nione)

    SEHEMU YA 39/50 "Hawezi kumpenda randy na haiwezi tokea bossi sisi tunajua namna gani yakufanya". " Anaonekana binti mwenye mawazo sana natamani nimuone kwa ukaribu zaidi kuliko hizi video zake mlizoniletea". " Usijali boss kesho kutwa kuna mnada unapigwa wa kimataifa viongozi na matajiri...
  5. hancy Abdon

    JamiiForums Tanzania Love is a drug abuse

    Tuendelee sasa
  6. hancy Abdon

    JamiiForums Tanzania Riwaya: See Me (Nione)

    See me
  7. hancy Abdon

    JamiiForums Tanzania Riwaya: See Me (Nione)

    SEHEMU YA 38/50 Yule jamaa akazidi kutupatia maelekezo yake, kuwa inatupaswa tufanye kazi hiyo kwa usahihi usiku wa leo hili tuendelee kuwa hai na wapendwa wetu waliowashikilia kule nchini somalia. “ Mtafatwa na gari usiku kwenda katika majukumu yenu hakuna muda wa kupumzika maana...
  8. hancy Abdon

    JamiiForums Tanzania Riwaya: See Me (Nione)

    SEE ME SEHEMU YA 37/50………. Afrika ya kusini Tulifika mjini cape town city jiji ambalo linazidi kukua kwa kasi ya ajabu kiuchumi na kufanya population ya watu kuongezeka toka sehemu mbalimbali za dunia katika bara hili la Afrika na kufanya ajira nyingi...
  9. hancy Abdon

    JamiiForums Tanzania Riwaya: See Me (Nione)

    Nimerudiiii mwez mzim tupo wote kesho naachia zoye mbili hasubh saa 4
  10. hancy Abdon

    JamiiForums Tanzania Riwaya: See Me (Nione)

    Hi
  11. hancy Abdon

    JamiiForums Tanzania Love is a drug abuse

    Ijumaa Niko mjengon rasm
  12. hancy Abdon

    JamiiForums Tanzania Love is a drug abuse

    SEHEMU YA TANO Wakanishangaa kwa kitendo nilichokifanya kwa makamu wa chuo kwa kupiga makalio yake kofi na kufanya yatingishike,lilikuwa ni jambo kubwa la aibu na dharau nililolifanya kwenye mwili wake na ilinistahili kupewa suspended ya miezi au hata kufukuzwa chuo na kufunguliwa kesi ya...
  13. hancy Abdon

    JamiiForums Tanzania Love is a drug abuse

    SEHEMU YA NNE….. “Unazungumza kuhusu nini domy?”. Mkuu wa jopo hilo la uchunguzi akazungumza huku macho na sura yake vikiingiwa na hofu,nikatabasamu na kumuona jinsi alivyoingiwa na unyonge ghafla Mkuu wa chuo akafika pale tulipo na jamaa akamuwahi kumfata huku wakipeana mikono kama ishara...
  14. hancy Abdon

    JamiiForums Tanzania Riwaya: See Me (Nione)

    Am back ngj nifke home kijn hy trh 26
  15. hancy Abdon

    JamiiForums Tanzania Riwaya: See Me (Nione)

    Matanga yameisha wazeee Niko mjengoni
Back
Top Bottom