Wadau habar zenu. Mimi ni kijana wa miaka 24 naitwa Charles niko Arusha nimemaliza masomo ya veta mwaka wa 3 (2017) kwasasa nipo mtaani tu,
Natafuta fundi umeme wa magari niwe nafanya nae kaz kama nyokaa wake ili niendelee kupata uzoefu maana ndo nimetoka shule mwez wa 12 tu mwaka jana.
Kama...
Wadau habar zenu. Mimi ni kijana wa miaka 24 naitwa Charles niko Arusha nimemaliza masomo ya veta mwaka wa 3 (2017) kwasasa nipo mtaani tu,
Natafuta fundi wa umeme wa magari niwe nafanya nae kaz kama nyokaa wake ili niendelee kupata uzoefu maana ndo nimetoka shule mwez wa 12 tu mwaka jana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.