Hakuna tofauti kati ya bomu na vibande vyake. Lote ni bomu na ukweli ilivosema ni sawa na ukimwaga tone la maji chini kuna matone madogomadogo huruka juu katika Angle tofauti. Tunashauriwa kulala chin kwan vile vipande vya Bomu vitapishana angle na yako hivyo kunusurika.
Ndugu wadau,
Nimekuwa nikijiuliza mwelekeo na mwenendo wa siasa wa nchi yangu bado sijapata majibu yakinifu. Hivi siasa ni vita? Hivi siasa ni chuki na fitna? Hivi siasa ni uadui!?
Hivi siasa ina maslahi kiasa cha wasomi, wanasiasa, na viongozi wa dini kukimbilia siasa?
Moyo wangu unaamini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.