Recent content by Hamijacko

  1. Hamijacko

    Natafuta girlfriend atakaekuja kuwa mke

    Anae tafutwa ni mwanamke wa kujenganae life nasio anaeangalia kipato cha mtu kwanza, so humu kama wapo wanaoangalia kipato cha m2 I CAN'T BE WITH HER cz huyo atakuwa ni mboaji naco mjengaji and dat's y wengi wao wanaishia kuchezewa nakuachika cz wanakuta vimesha jengwa na hawajui vilijengwaje
  2. Hamijacko

    Natafuta girlfriend atakaekuja kuwa mke

    Naitwa Khamis naishi dar ni Doctor to be , Natafuta girlfriend atakaekuja kuwa my wife bdae, Awe na age kuanzia 18-24 yrs ,awe mwembamba wa wastan na ni muslim bt hata kama ni din tofauti it's k if atakuwa tayar kubadil din ili kuish na me. if upo tayar njoo PM ,my email hamijacko@gmail.com and...
  3. Hamijacko

    Ni lini post za Vyuo vya Afya zitatoka kwa mwaka 2015?

    kaka mfano udaktari hata ukiusomea INDIA laki ukija hapa kama uja verify cheti chako huwezi pata ajira cz hakuna atakae kutambua na ndo icho kilicho watokea hao!
  4. Hamijacko

    Ni lini post za Vyuo vya Afya zitatoka kwa mwaka 2015?

    unajua ustadhi kawaida ya watanzania huwa tuna penda kurahisisha v2.Ni kweli kile chuo kinafundisha mtaala wa kimataifa na mabaraza mfano baraza la pharmacy na madaktari wanakitambua kama chuo cha kimataifa na co chuo cha kitaifa sasa tatizo lililo wakumba wanafunzi wa pale ni hili hapa "kwa...
  5. Hamijacko

    Ni lini post za Vyuo vya Afya zitatoka kwa mwaka 2015?

    ustadhi kama kweli unakijua hicho chuo vizuri sana naomba unipe sababu kubwa ya kwa nn wanafunzi hawakutambulika?
  6. Hamijacko

    Ni lini post za Vyuo vya Afya zitatoka kwa mwaka 2015?

    ustadhi acha kuogopesha watu ule mgogoro umesha isha au kuna tatizo jingine? na alafu ulikuwa unajua sababu gani mpaka wanafunzi hawakutambulika?
  7. Hamijacko

    Ni lini post za Vyuo vya Afya zitatoka kwa mwaka 2015?

    na vp kuhusu joinstruction kwa cc wa afya or hukuwauliza?
  8. Hamijacko

    Msaada kuhusu nacte...

    kunamarekebisho walikuwa wanayafanya jaribu saivi!
  9. Hamijacko

    Ni lini post za Vyuo vya Afya zitatoka kwa mwaka 2015?

    wakuu lile tatizo la kuconfirm wamesha lirekebisha!
  10. Hamijacko

    Ni lini post za Vyuo vya Afya zitatoka kwa mwaka 2015?

    Dah mwaka huu wale wenye internet cafe watafaidi hela ze2 sana cz itatubidi kilacku 2we 2naenda kuconfirm!!
  11. Hamijacko

    NACTE: Deadline ya second selection yaongezwa

    dah hongera yako mkuu cwangine toka tu confirm mpaka leo hazijatumwa!
  12. Hamijacko

    Decca college of health

    ada yao ni tsh 3000000!!
Back
Top Bottom