Recent content by Hamayser hamisi

  1. Hamayser hamisi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwa sasa, huenda hawa wakawa ndio Wanawake bora wa kuoa

    Wanawake wa namna hii penzi sio kitu Cha thaman,,yupo tear kutoa penz ili apate hudumu ya elf 2 au 3 ( boda boda watajivinjari)
  2. Hamayser hamisi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume mliopata wake wa maana wa kuoa, mliwezaje? Au mlijitoa tu ufahamu mkaoa

    Aiseh kumpata mke wa kuoa ni big challenge
  3. Hamayser hamisi

    JamiiForums Tanzania Nilifanya mapenzi kinyume na maumbule 2016, mwaka huu imemfanya mchumba wangu kuniacha kabla ya ndoa!

    Mungu kaonesha ufalme wake kupitia rafiki Ili kijana wa TRA asiingie kwenye majanga ya huyu dada,, shida sio rafiki yeye mwenyewe km angeiuwa na matendo ya kumpendeza mungu..rafiki angetoa wapi habari chafu hizo...ukitenda one-day utakulipa wema wako na utenda baya one-day utakulipa ubaya wako
  4. Hamayser hamisi

    JamiiForums Tanzania Fursa zinazopatika kipindi cha mavuno ya ufuta maeneo ya Kilwa kuanzia May mpaka Agosti kila mwaka

    Sana tu, natumain mwez wa 6 Hadi 7 ntakuwepo maeneo hayo nakiu, nanjirinji
  5. Hamayser hamisi

    JamiiForums Tanzania Fursa zinazopatika kipindi cha mavuno ya ufuta maeneo ya Kilwa kuanzia May mpaka Agosti kila mwaka

    Sawa,, sema watu wa Kule ufuta wanapata sana uwezekano wa kulipwa mkubwa
  6. Hamayser hamisi

    JamiiForums Tanzania Fursa zinazopatika kipindi cha mavuno ya ufuta maeneo ya Kilwa kuanzia May mpaka Agosti kila mwaka

    Aaah biashara ya kukopesha inafaida ila inachangamoto sana, ya kupitia kudai, wapi ndugu yangu ulikopesha
  7. Hamayser hamisi

    JamiiForums Tanzania Fursa zinazopatika kipindi cha mavuno ya ufuta maeneo ya Kilwa kuanzia May mpaka Agosti kila mwaka

    Kifupi tu mm Sina ila km unaitaji kwel nkupe connection ukanunue kwenye vyama vya msingi
  8. Hamayser hamisi

    JamiiForums Tanzania Fursa zinazopatika kipindi cha mavuno ya ufuta maeneo ya Kilwa kuanzia May mpaka Agosti kila mwaka

    Habari, hii taarifa nilishawahi kuandika siku 3 au 4 zilizopita sasa baada ya watu wengi kutoelewa na kuhisi vibaya nimerudi kuweka KILA kitu wazi fursa zinazopatika kwenye msimu huu wa mavuno ya zao la ufuta. 1. Unaweza kununua ufuta Kwa wakulima na ww ukauza kwenye vyama vya msingi na...
  9. Hamayser hamisi

    JamiiForums Tanzania Msimu wa ufuta Mei mpaka Agosti kila mwaka

    [emoji120][emoji120][emoji120]
  10. Hamayser hamisi

    JamiiForums Tanzania Msimu wa ufuta Mei mpaka Agosti kila mwaka

    Sivyo unavyo nifikilia ila pia lazima ufikilie ivyo coz Dunia ya Leo imejaa wizi,,, nilicho andika ni kutangaza fursa Kwa watanzania wezangu.... Naamini hii post ya wafanyabiashara wa mazao watanielewa
  11. Hamayser hamisi

    JamiiForums Tanzania Msimu wa ufuta Mei mpaka Agosti kila mwaka

    Je unaujua ufuta au umesikiakuhusu ufuta km unaujua Wacha nikujuze zaidi km ujui Wacha nkujuze, ufuta ni Zao linalolimwa zaidi kusini mwaTanzania mikoa ya ya Lindi na Mtwara zaidi unalimwa mkoa wa Lindi, Sasa huu ni.mwezi wa Tano Wacha nikupe taarfa za fursa ufuta,, Kwa ww Mtanzania mwenzangu na...
  12. Hamayser hamisi

    JamiiForums Tanzania Saikolojia: Jinsi ya kuondokana na mawazo yanayoumiza au kuhuzunisha

    ila vijana chamoto kubwa ambayo inatusumbua kiasi kwamba kila dk uikumbuke ni mapenzi. vp na we unaptia changamoto ya mapenzi? Sent from my M100 using JamiiForums mobile app
  13. Hamayser hamisi

    JamiiForums Tanzania Ni zipi mashine nzuri za kufulia kwa ajili ya biashara?

    [emoji120][emoji120][emoji120] Sent from my M100 using JamiiForums mobile app
  14. Hamayser hamisi

    JamiiForums Tanzania Ni zipi mashine nzuri za kufulia kwa ajili ya biashara?

    [emoji120][emoji120][emoji120] Sent from my M100 using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom