ni mawazo tu jaman 2cjenge chuki,tz ni yetu!kila mtu/chama ana haki ya kuongoza nchi bila kuangalia kabila,rangi,tuipende nchi yetu,hata km utakuwa UDP utaijenga endapo utaipenda nchi yako'
busara na umakini mkubwa unahitajika ktk kuwaangalia wanachama wapya ambao wanatoka chama kijani isije ikawa ndio njia ya kuangamiza mshikamano na umoja ndani ya CDM,NI HAYO TU!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.