Recent content by Halmashauri Kuutz

  1. H

    Mangula, Msekwa wampinga Nape mgogoro Bukoba,mgogoro sasa wahamia CCM Taifa

    Nape cheo chake ni udiwani wamempa cheo ambayo hakiwezi kbsaaaaaa
  2. H

    Mhadhiri wa UDSM auawa kwa risasi jijini Dar es Salaam

    Jamani nchi hii inaelekea wpi leo.arusha erasto bilionea ameuwawa leo dar nako heee tuombeeno nchi yetu.watu wamekuwa makatili cna jmni
  3. H

    Eliezer Feleshi Atimuliwe Madarakani Kwa Manufaa Ya Umma

    Huyu naitaji kujua elimu yake jmni maana anatumika kisiasa kesi ya mafisadi hapeleki mahakamani mwigulu amekuwa akimpeleka balaa kama mtoto wake anadhalilisha taaluma ya sheria ajiuzulu mara moja hyo
  4. H

    Tanzia: Edwin Michael Mlay amefariki dunia

    R.i.p kaka yetu tutakukumbuka cna kwa wema wako juzi mdgo wake salva alipata ajali nafuso lkni anaendelea vizuri mungu awatie nguvu jmni katika wakati mgumu mliokuwa nayo r.i.p kaka yetu
  5. H

    Ni kweli Waziri Mkuu kafikishwa Mahakamani?

    Sheria ifate mkondo wake bna piga tu heeee jmni
  6. H

    Lema na Mawazo kutikisa jimbo Busanda tarehe 18 July

    Nibalaa jembe lema akitua hapo namawazo nibalaa wewweeeeeeeeeeee chezea lema weweeeeeeee
  7. H

    CHADEMA, tunataka kujua fedha zetu za ruzuku zinavyotumika

    Wewe unataka mapato namatumizi umedata wewe gamba fanya mapato na matumizi ukiwa na wife wako chumbani unaacha kagua ufisadi wa mabilion kwenye ccm yenu majangili wakubwa nyie mnaanza fatafata cdm kajipange upya uje umevaa mini tukupe mapato na matumizi
  8. H

    Mkutano wa IYDU, BAVICHA na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam

    Jamani hapa nape mwigulu na magamba tumewaacha mbli wataanza tafuta wakalmani weweeee chezea mwenyekiti heche weweeeeeeee
  9. H

    Tamko la serikali kuhusu kodi mpya kwa ajili ya malipo ya simcard

    Huu ni usanii mtupu ccm wanakwenda pitisha shauri wako wengi bungeni natoa rai kwa watanzani cmccm wakipitisha tozo hyo msiwachague 2015 hawana huruma na watanzania
Back
Top Bottom