Recent content by HALANGA

  1. H

    Nini kifanyike kuboresha mtaala wa elimu

    Wadau bado kuna ufahamu mdogo nini kifanyike kuboresha mtaala wa elimu. 1. Kuandaa vijana wetu kwenye mtaala ili washiriki uchumi wa viwanda lazima Sera ya Elimu lazima ibainishe kuwa Shule ni kituo cha kukuza ubunifu. 2. Ili kutekeleza hilo, mtaala utabainisha ufundishaji unakuza na kujenga...
  2. H

    Maoni yangu kuhusu Elimu yetu

    Kuna suala ambalo linatakiwa lifanyike kwenye elimu ambapo lingemsaidia Mheshiwa Rais katika suala la kujenga nchi kwenye uchumi wa viwanda. Tunapojenga uchumi wa viwanda mtaala wa elimu unatakiwa kuwaandaa watoto kuja kuingia kwenye ujenzi wa uchumi wa viwanda. Hii itafanyika kama mtaala...
Back
Top Bottom