Wadau bado kuna ufahamu mdogo nini kifanyike kuboresha mtaala wa elimu.
1. Kuandaa vijana wetu kwenye mtaala ili washiriki uchumi wa viwanda lazima Sera ya Elimu lazima ibainishe kuwa Shule ni kituo cha kukuza ubunifu.
2. Ili kutekeleza hilo, mtaala utabainisha ufundishaji unakuza na kujenga...
Kuna suala ambalo linatakiwa lifanyike kwenye elimu ambapo lingemsaidia Mheshiwa Rais katika suala la kujenga nchi kwenye uchumi wa viwanda.
Tunapojenga uchumi wa viwanda mtaala wa elimu unatakiwa kuwaandaa watoto kuja kuingia kwenye ujenzi wa uchumi wa viwanda.
Hii itafanyika kama mtaala...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.