Recent content by Halaiser

  1. Halaiser

    JamiiForums Tanzania Nadhani huu ukumbatiaji wa wicknell kwa rais wa nchi haujakaa kiprotical , amemkumbatia vibaya na sidhani dini kama inaruhusu.

    Wawezee wapi. Kazi wanayoweza ni kuwadhibiti ndugu zao kama kina EN na HP. Mungu anawaona wapuuzi hawa.
  2. Halaiser

    JamiiForums Tanzania SSH Tafakari kuhusu hili.

    Nchimbi kwa hiari yake?? Nchimbi kwa hiari??
  3. Halaiser

    JamiiForums Tanzania Hii Quotation ya leo inapasua anga, ardhi na maji

    Yaani unaacha msiba nyumbani kwako unakwenda kwenye sherehe ya harusi ya jirani???
  4. Halaiser

    JamiiForums Tanzania Je, kutatokea nini Lissu akihukumiwa kunyongwa hadi kufa?

    Mh Lisu alishawahi kusema, yeye alishahukumiwa kifo wakati wa Utawala wa awamu ya tano. Huyu mnaemuona ni Mungu pekee mwenye siri ktk kuurejesha uhai wake tena duniani. Na kamwe hatatulia na kama ikiwezekana basi waje wamalizie kazi aliyoianzisha Magu.
  5. Halaiser

    JamiiForums Tanzania Dr. Mbuyiseni Ndlozi: Who Gave You Power Mama Samia?

    Tatizo kubwa kwake ni kwamba hajawahi kuonyesha hata chembe ya majuto kwa mauaji yale ya maelfu ya Watz wenzake. Yeye hujigamba kuwa ametuliza ghasia nchini. Ona aibu hii sasa. Anawezaje kuketi na Marais kujadili Demokrasia ndani ya SADC wakati akijuwa wazi kuwa yeye ni zao la ukandamizaji wa...
  6. Halaiser

    JamiiForums Tanzania CHADEMA sogezeni Mbele Mkutano wa Baraza Kuu hadi pale itakapoamuriwa Upya!!

    Nyoka akiwa ameingia ndani ya nyumba usiku, mgongeni kichwa usiku huo huo msisubiri kukuche.
  7. Halaiser

    JamiiForums Tanzania Kiongozi wa Zambia aliyeonesha dharau kwa Tanzania afuatiliwe anachafua nchi yetu anatumiwa na wasiopenda Amani ya nchi yetu.

    Najiuliza hivi, anajisikiaje Rais aliyepatikana kwa uongo na uporaji wa kura kisha kujitangaza mshindi, huku akifahamu fika hakuchaguliwa na raia wake. Wakati huo huo anaketi meza moja na Maris wengine waliopatikana kihalali kupitia kura za wazi zilizopigwa na raia wa nchi zao?? Mbaya zaidi hao...
  8. Halaiser

    JamiiForums Tanzania Mwenda Tezi na Omo marejeo Ngamani-TEC Wameelewa,Bado nani Hajaelewa?

    Asante sana Mkuu. Yaani mtoa mada ni wa ahabu sana. Asifikiri wote ni kama yeye. Yaani upande uliosababisha matatizo makubwa kwenye nchi yetu wao wasiwajibike kwa maafa waliotuletea kwenye taifa letu. Msimamo ni ule ule iundwe Kamati itakayosimamia serikali ya mpito, tupate katiba mpya kisha...
  9. Halaiser

    JamiiForums Tanzania Mgomo wa wahadhiri vyuo vikuu wanukia

    Mkuu kuna jambo hulijui. Unafikiri Yuda janakaongea kwa bahati mbaya? Unafikiri Yuda yuko peke yake? Je unafahamu nani yuko nyuma yake? Kuna mtego umeshawekwa unasubiriwa ufyatuke mtu anase humo.
  10. Halaiser

    JamiiForums Tanzania Chama cha Kutetea Taaluma Barani Africa (ACACAF) kimemwandikia barua Rais Samia ya kutaka kuachiliwa mara moja wahadhiri watatu wanaoshikiliwa

    Kuanzia J3 next week kuna uwezekano mkubwa wa kuanza migomo kwa Wahadhiri ndani ya Vyuo Vikuu Tanz. Kitakachofuata ni maandamano toka kwa Wanafunzi wote wa Vyuo vya Elimu ya Juu nchini.
  11. Halaiser

    JamiiForums Tanzania Tunatamani kupigania katiba mpya; Tatizo tunaogopa kesi za uhaini, ugaidi na uchochezi!

    Nakubaliana na wewe kwa kiasi kikubwa. Kwanza kwa nafasi yake aliokuwa nayo, anafahamu wazi ilipatikana kwa njia gani. Hakuna kura zilizopigwa lkn walijitangaza washindi. Je kuna siku aliwahi kujutia nafasi yake hiyo? Je aliwahi kuonyesha kukerwa na mauaji ya Oct 29 yaliyofanywa na Serikali...
  12. Halaiser

    JamiiForums Tanzania John Heche: Kwanini VITOL anatuuzia mafuta kwa usd 260 wakati Uganda anawauzia kwa USD 83 na Msumbiji usd 90?

    Kaweka wazi kuwa CCM kwa sasa haipo. Wanamtandao wamekiteka kwa kuwatumia hao hao uliowataja na kukifanya kichaka chao cha kujificha. Hasa wanapotenda maovu yao. Nimèpenda aliposema adui yako ni mtu wako wa karibu. Sasa wanamtandao wajiulize " Nani kati yao aliyetoa siri zao na kumpatia Heche?"
  13. Halaiser

    JamiiForums Tanzania Kama Mzee Warioba anadai Polisi waliopiga watu risasi Oktoba 29 ndio watuhumiwa namba moja nani aliwapa polisi amri ya kupiga watu risasi?

    Kuna suala lingine Mkuu. "Wale majeruhi waliofanikiwa kufikishwa mahospitalini kuna amri ilitolewa wamaliziwe kwa kunyimwa huduma na wengine kupelekwa mochwari wakiwa hai" . Amri ile ililenga kuwaondolea uhai Watoto wale na siyo kuwatawanya. Mtoa amri anajulikana na yuko anagongo cheers na...
  14. Halaiser

    JamiiForums Tanzania Ufunuo wa kutisha: Uovu wa jeshi la polisi kwenye kubambikia kesi mbaya wasio na hatia

    Kuna lile sakata la yule Mzee Mstaafu wa Usariver Mkoani Arusha. Aliwekewa meno ya tembo kwenye mizinga yake ya nyuki. Kisha kukamatwa na Polisi na kutakiwa kutoa mamilioni ya fedha kumaliza sakata lile. Mzee yule alihangaika kupata fedha zote na kuwapa polisi. Baadae ilikuja kujulikana kwamba...
Back
Top Bottom