Recent content by Halaiser

  1. Halaiser

    JamiiForums Tanzania Waacheni Warudi Lakini Wasitutoe Kwenye Reli: Je, Hii ni Mkakati wa CCM Kudhoofisha CHADEMA?

    Watz siyo wajinga. Watang'amua mapema sana kila aina hujuma kabla ya utekelezaji.
  2. Halaiser

    JamiiForums Tanzania Mwigulu: Awamu ya 5 kuna Kiongozi mkosoaji alishambuliwa ilionekane ni Serikali

    Mwigulu unasema tuwe macho tusikubali kugawanywa na watu wenye nia ovu. Hupni kwamba wewe ndiye unaewagawa watu kwa uongo wako?? Kumbuka kutakuwepo na kundi litakalokuunga mkono na kundi lingine litasimamia ukweli hivyo kukupinga. Uongo unakusaidia nn? Uliwahi kutamka Bungeni kuwa una ushahidi...
  3. Halaiser

    JamiiForums Tanzania Tumemtuhumu Mafwele peke yake bila kumtaja anayemtuma. Mafwele hatoboi 2029

    Uchawi hauazimwi. Abebe matunguri yake mwenyewe. Damu alizomwaga zitaendelea kupaza sauti hadi Mungu aamue ugomvi.
  4. Halaiser

    JamiiForums Tanzania ACT Wazalendo acheni uduwanzi wa kisiasa. Kama mlitambua tume ya uchaguzi ni batili na haiko huru mliingia kwenye uchaguzi ili iweje?

    Wanafiki tu hawa. Kuna kitu kinaabdaliwa tuwape muda kitakuwa wazi.
  5. Halaiser

    JamiiForums Tanzania Nyahoza: Barua yetu kwa CHADEMA inasema kusimamisha chama kwa muda, sio kufuta

    Kina Heche pamoja na Viongozi wengine wa Chadema wanzuiwa kuingia gerezani kumtembelea Mwenyekiti wao. Wamewatumia Mawakili wao kushinikiza Mahakama kuendelea na kesi ile bila mafanikio. Sasa walitaka lugha gani itumike kwa Chadema ili kuweza kupaza sauti kwa magumu wanayoyapitia?? Kuna watu...
  6. Halaiser

    JamiiForums Tanzania Maigizo ya “MFUNGWA WA SAMIA”

    Mtu mzima tena logo ya Taifa kuamua kuwageuza Watz wote mandondocha kwa kuwadanganya. Kama anaweza kudanganya namna ile tena kwenye public vipi huko gizani??
  7. Halaiser

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Jaji Warioba: Kwa matokeo yale Tume ya Uchaguzi ndiyo ilipiga kura sio Wananchi

    Mzee Warioba umeamua kuwa mtu wa haki na kusimamia ukweli ktk maisha yake yote. Mungu akubariki akulinde na kukutetea katika kipindi chote cha uhai wako. Sikuweza kuamini kuwa Watu wazima wenye akili zao timamu kama kina Kabugi, Kyande na wengineo kama wao wangeweza kusimama na kusema uongo...
  8. Halaiser

    JamiiForums Tanzania CCM Haiwezi Kulala: Rais Ashuka Shina

    Hivi unakwenda kuzungumza na vijana, eti kwa kusema "never again ". Wakati huo huo kuna kijana anazikwa kiwiliwili. Ameuawa kikatili kwa kukatwa kichwa kisha kutokomea nacho kusikojulikana. Upumbavu uliopitiliza.
  9. Halaiser

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Katibu Mkuu Wa Chama Fulani Kumwaga Manyang'a

    Vipi Makamu mwenyekiti yaani lile Zee la hovyo bado umri unamruhusu siyo??
  10. Halaiser

    JamiiForums Tanzania Kaburi la Halaiki Kwa Kondo: Porojo za Wanaharakati

    Kama mlishauri tume eti iseme zile picha ni za Gaza na zingine ni AI, kwa huu upupu wako lipi litakuwa ajabu?
  11. Halaiser

    JamiiForums Tanzania Lissu aonekana Mahakamani leo

  12. Halaiser

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 MwanaHALISI: Pamoja na Ripoti ya Tume kutoka, ICC Haikwepeki

    Watakwambia "it was sleeping of a tongue"
  13. Halaiser

    JamiiForums Tanzania Asante Mungu kwa kutuonyesha "ukihiyo" wa Othman Chande, wengi hatukumjua kabla

    Samia katunga mtihani Tume Chande wakafanya huo mtihani. Kabudi kasahihisha mtihani huo. Mungu ikimpendeza atangaze matokeo. Hapo ndipo faraja ya kweli kwa Wahanga itapatikana.
Back
Top Bottom