Recent content by Halaiser

  1. Halaiser

    Samia nakuonya Tena mwisho wako utakuwa mbaya Sana! Katiba iko wapi?

    Suala la Katiba Mpya limepigiwa kelele sana. Tatizo limekuwa ni chama tawala kwa kulichukulia kama ni hisani toka kwao. Tukiendelea kutegemea utashi wa kiongozi aliye madarakani ili kupata Katiba Mpya tumekwisha. Hata akiwa na utashi huo hawezi kulikamilisha kwani atakumbuna na vikwazo vingi...
  2. Halaiser

    Njama ya awamu ya 5 ya kuunga mkono Juhudi yarejeshwa tena, Mlengwa mkuu ni viongozi wa Chadema

    Kuna kakikundi kadogo kanachojidai kuwa Tanz ni mali yao. Hivyo Watz wote wako chini yao. Kikundi hicho hakiamini ktk Katiba wala Sheria za nchi bali ktk nguvu ya dola. Masuala yote ovu yanasimamiwa na karatibiwa na kikundi hicho ikiwemo la ununuzi. Wanaowanunua Wanachadema hasa viongozi siyo...
  3. Halaiser

    Ninasikitishwa na kuumizwa sana ninapoona Sativa akitukana na kudhalilisha Viongozi wetu

    Hivi unafahamu yaliyomkuta Sativa chini ya utawala wa serikali hii? Au unajitoa ufahamu.
  4. Halaiser

    Serikali yapiga marufuku kutumia CCTV Camera bila usajili. Je, ni kuwalinda wasiojulikana?

    Serikali ya gizani hufanya mambo/shughuli zake gizani. Hawataki wasiojulikana wajulikane.
  5. Halaiser

    Tibaijuka, umekosa haya? Mahakama ni chombo huru na muhimu, omba kadi ya CHADEMA lakini sio kuhamasisha vurugu

    Bora u.ewashutukia tuwapuuze kama wapuuzi wengine. RA aliwahi kuwaambia "inapigwa simu moja tu toka juu Mahakama chali". Walikuwa wapi? Ni wazi Mihimili mingine imetekwa na ule uliojichimbia chini zaidi.
  6. Halaiser

    Lissu awasilisha maombi kwa hati ya dharura Mahakama ya Rufani

    Wewe ni mkongwe JF lkn akili zako za kushikiwa huna tofauti na chama chako.
  7. Halaiser

    PostGE2025 Vurugu za Oktoba 29 zilifanywa na wanaCCM waliopinga rais Samia kupitishwa na mstaafu Kikwete bila mkutano mkuu, sio CHADEMA

    Wote wametokea kwenye mwamvuli ule ule wa Chama cha Wauaji. Mipango yote hiyo hupangwa huko huko kwenye chama chao chini ya M/kiti wao wa CCM. Huwezi tenganisha CCM na maovu yote yale na kumbebesha lawama M/kiti wao pekee.
  8. Halaiser

    PostGE2025 Vurugu za Oktoba 29 zilifanywa na wanaCCM waliopinga rais Samia kupitishwa na mstaafu Kikwete bila mkutano mkuu, sio CHADEMA

    Magufuli alishamaliza safari yake ya hapa duniani. Hakuna haja ya kuendeleza mipasho kumpamba. Mwancheni Mwendazake apumzike zake huko aliko.
  9. Halaiser

    Wengi hawapendi JPM akumbukwe kwa Uzuri: lakini atabaki kuwa chaguo la watanzania wengi

    Hakuna kitu kibaya alichofanya Magufuli kama kujijengea imani kwa raia yeye kama yeye. Badala ya kuhakikisha nchi inajijengea mifumo bora na imara isoyoyumbishwa na yeyote yule. Kama angehakikisha tunapata Katiba Mpya yenye kupunguza au kuondoa baadhi ya madaraka ya Rais kama "kuteua/kutenda...
  10. Halaiser

    Nini kinaendelea? Internet ni shida na Askari wapo kila kona

    Hawa watu wamechanganyikiwa hawajui nini wafanye na kwa wakati gani. Uchaguzi wao wa maigizo ulishanalizika lkn hata wao wenyewe hawajui hilo. Sehemu nyingi kwenye nchi yetu bado mabango ya kampeni yamejazana. Wameishiwa maarifa kazi iliyobaki ni maigizo tu. Hawa askari waliojazwa mitaani...
  11. Halaiser

    Kiongozi anasimama anasema foleni inasababishwa na magari machafu yasiyo na AC

    Yeye mwenyewe akili zake namna A" anang'ang'ania madaraka hadi leo. Matokeo yake kuanza kuwasimanga watu waliomiliki chuma toka enzi zile. Serikali iwaondoe namba A wote Serikalini waajiriwe namba E" full stop.
  12. Halaiser

    Wako wapi hawa!

    Hadi Jumba lile lililokuwa makazi ya kudumu ya Mtu Yule, limegeuka kuwa nyumba ya kufikia wakati wa shughuli maalum.
  13. Halaiser

    Taifa letu lingekuwa na Idara ya usalama wa Taifa makini yaliyotokea Oktoba 29 yasingetokea na taifa letu lisingepata aibu kubwa kama hii

    Umesema kweli Mkuu. Hapo ndipo penye tope linalokwamisha gari la TISS na kushindwa kuendelea na shughuli zake kwa weledi.
  14. Halaiser

    Hongera Pascal Mayalla kwa kumtembelea mweyekiti Lissu mahakamani amua sasa kusimama upande wa haki

    Hao walikuwa wakiteswa na Makaburu. Lissu anateswa na Watz wenzie wenye nguvu kimamlaka. Pascal kamaliza kila kitu "YANA MWISHO HAYA"
Back
Top Bottom