Mwigulu unasema tuwe macho tusikubali kugawanywa na watu wenye nia ovu. Hupni kwamba wewe ndiye unaewagawa watu kwa uongo wako??
Kumbuka kutakuwepo na kundi litakalokuunga mkono na kundi lingine litasimamia ukweli hivyo kukupinga. Uongo unakusaidia nn? Uliwahi kutamka Bungeni kuwa una ushahidi...
Kina Heche pamoja na Viongozi wengine wa Chadema wanzuiwa kuingia gerezani kumtembelea Mwenyekiti wao. Wamewatumia Mawakili wao kushinikiza Mahakama kuendelea na kesi ile bila mafanikio.
Sasa walitaka lugha gani itumike kwa Chadema ili kuweza kupaza sauti kwa magumu wanayoyapitia??
Kuna watu...
Mtu mzima tena logo ya Taifa kuamua kuwageuza Watz wote mandondocha kwa kuwadanganya. Kama anaweza kudanganya namna ile tena kwenye public vipi huko gizani??
Mzee Warioba umeamua kuwa mtu wa haki na kusimamia ukweli ktk maisha yake yote. Mungu akubariki akulinde na kukutetea katika kipindi chote cha uhai wako.
Sikuweza kuamini kuwa Watu wazima wenye akili zao timamu kama kina Kabugi, Kyande na wengineo kama wao wangeweza kusimama na kusema uongo...
Hivi unakwenda kuzungumza na vijana, eti kwa kusema "never again ". Wakati huo huo kuna kijana anazikwa kiwiliwili. Ameuawa kikatili kwa kukatwa kichwa kisha kutokomea nacho kusikojulikana. Upumbavu uliopitiliza.
Samia katunga mtihani Tume Chande wakafanya huo mtihani. Kabudi kasahihisha mtihani huo. Mungu ikimpendeza atangaze matokeo. Hapo ndipo faraja ya kweli kwa Wahanga itapatikana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.