Mkuu kuna jambo hulijui. Unafikiri Yuda janakaongea kwa bahati mbaya? Unafikiri Yuda yuko peke yake? Je unafahamu nani yuko nyuma yake?
Kuna mtego umeshawekwa unasubiriwa ufyatuke mtu anase humo.
Kuanzia J3 next week kuna uwezekano mkubwa wa kuanza migomo kwa Wahadhiri ndani ya Vyuo Vikuu Tanz. Kitakachofuata ni maandamano toka kwa Wanafunzi wote wa Vyuo vya Elimu ya Juu nchini.
Nakubaliana na wewe kwa kiasi kikubwa.
Kwanza kwa nafasi yake aliokuwa nayo, anafahamu wazi ilipatikana kwa njia gani. Hakuna kura zilizopigwa lkn walijitangaza washindi. Je kuna siku aliwahi kujutia nafasi yake hiyo? Je aliwahi kuonyesha kukerwa na mauaji ya Oct 29 yaliyofanywa na Serikali...
Kaweka wazi kuwa CCM kwa sasa haipo. Wanamtandao wamekiteka kwa kuwatumia hao hao uliowataja na kukifanya kichaka chao cha kujificha. Hasa wanapotenda maovu yao.
Nimèpenda aliposema adui yako ni mtu wako wa karibu. Sasa wanamtandao wajiulize " Nani kati yao aliyetoa siri zao na kumpatia Heche?"
Kuna suala lingine Mkuu. "Wale majeruhi waliofanikiwa kufikishwa mahospitalini kuna amri ilitolewa wamaliziwe kwa kunyimwa huduma na wengine kupelekwa mochwari wakiwa hai" .
Amri ile ililenga kuwaondolea uhai Watoto wale na siyo kuwatawanya. Mtoa amri anajulikana na yuko anagongo cheers na...
Kuna lile sakata la yule Mzee Mstaafu wa Usariver Mkoani Arusha. Aliwekewa meno ya tembo kwenye mizinga yake ya nyuki. Kisha kukamatwa na Polisi na kutakiwa kutoa mamilioni ya fedha kumaliza sakata lile. Mzee yule alihangaika kupata fedha zote na kuwapa polisi.
Baadae ilikuja kujulikana kwamba...
Mkuu P wewe unafikiri ni nini hatma ya hili sakata? Je kwa upande utakaoibuka mshindi watanufaika kwa lolote? Je kwa upande wa Taifa kuna manufaa yeyote?
Mali huuzwa ili kumpeleka Mhanga kwenye matibabu. Hayo yote ni kupambania uhai wake. Nyumba ikiwa inashika moto, waokozi siku zote huuliza, kuna watu ndani? Kama wapo basi huwaokoa wao kwanza na si samani zilizopo ndani. Why? UHAI KWANZA.
Cha ajabu hawa wapuuzi waliolewa madaraka, wao wanawaua...
Mwigulu unasema tuwe macho tusikubali kugawanywa na watu wenye nia ovu. Hupni kwamba wewe ndiye unaewagawa watu kwa uongo wako??
Kumbuka kutakuwepo na kundi litakalokuunga mkono na kundi lingine litasimamia ukweli hivyo kukupinga. Uongo unakusaidia nn? Uliwahi kutamka Bungeni kuwa una ushahidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.