Recent content by Halaiser

  1. Halaiser

    JamiiForums Tanzania Mgomo wa wahadhiri vyuo vikuu wanukia

    Mkuu kuna jambo hulijui. Unafikiri Yuda janakaongea kwa bahati mbaya? Unafikiri Yuda yuko peke yake? Je unafahamu nani yuko nyuma yake? Kuna mtego umeshawekwa unasubiriwa ufyatuke mtu anase humo.
  2. Halaiser

    JamiiForums Tanzania Chama cha Kutetea Taaluma Barani Africa (ACACAF) kimemwandikia barua Rais Samia ya kutaka kuachiliwa mara moja wahadhiri watatu wanaoshikiliwa

    Kuanzia J3 next week kuna uwezekano mkubwa wa kuanza migomo kwa Wahadhiri ndani ya Vyuo Vikuu Tanz. Kitakachofuata ni maandamano toka kwa Wanafunzi wote wa Vyuo vya Elimu ya Juu nchini.
  3. Halaiser

    JamiiForums Tanzania Tunatamani kupigania katiba mpya; Tatizo tunaogopa kesi za uhaini, ugaidi na uchochezi!

    Nakubaliana na wewe kwa kiasi kikubwa. Kwanza kwa nafasi yake aliokuwa nayo, anafahamu wazi ilipatikana kwa njia gani. Hakuna kura zilizopigwa lkn walijitangaza washindi. Je kuna siku aliwahi kujutia nafasi yake hiyo? Je aliwahi kuonyesha kukerwa na mauaji ya Oct 29 yaliyofanywa na Serikali...
  4. Halaiser

    JamiiForums Tanzania John Heche: Kwanini VITOL anatuuzia mafuta kwa usd 260 wakati Uganda anawauzia kwa USD 83 na Msumbiji usd 90?

    Kaweka wazi kuwa CCM kwa sasa haipo. Wanamtandao wamekiteka kwa kuwatumia hao hao uliowataja na kukifanya kichaka chao cha kujificha. Hasa wanapotenda maovu yao. Nimèpenda aliposema adui yako ni mtu wako wa karibu. Sasa wanamtandao wajiulize " Nani kati yao aliyetoa siri zao na kumpatia Heche?"
  5. Halaiser

    JamiiForums Tanzania Kama Mzee Warioba anadai Polisi waliopiga watu risasi Oktoba 29 ndio watuhumiwa namba moja nani aliwapa polisi amri ya kupiga watu risasi?

    Kuna suala lingine Mkuu. "Wale majeruhi waliofanikiwa kufikishwa mahospitalini kuna amri ilitolewa wamaliziwe kwa kunyimwa huduma na wengine kupelekwa mochwari wakiwa hai" . Amri ile ililenga kuwaondolea uhai Watoto wale na siyo kuwatawanya. Mtoa amri anajulikana na yuko anagongo cheers na...
  6. Halaiser

    JamiiForums Tanzania Ufunuo wa kutisha: Uovu wa jeshi la polisi kwenye kubambikia kesi mbaya wasio na hatia

    Kuna lile sakata la yule Mzee Mstaafu wa Usariver Mkoani Arusha. Aliwekewa meno ya tembo kwenye mizinga yake ya nyuki. Kisha kukamatwa na Polisi na kutakiwa kutoa mamilioni ya fedha kumaliza sakata lile. Mzee yule alihangaika kupata fedha zote na kuwapa polisi. Baadae ilikuja kujulikana kwamba...
  7. Halaiser

    JamiiForums Tanzania Ile shahada yagoma kukaa Kichwani kwa Samia Suluhu, Yadondoka Chini. Warusi Waduwaa🤣🤣

    Angalia Kofia ile isijekuwa na kale kaunga hatari. Sijui kwanini nimewaza hivyo.
  8. Halaiser

    JamiiForums Tanzania Mbunge Simai: Serikalini kuna Yuda, huko nyuma amewahi kutajwa ni mzigo, amewaumiza watu wengi

    Mkuu P wewe unafikiri ni nini hatma ya hili sakata? Je kwa upande utakaoibuka mshindi watanufaika kwa lolote? Je kwa upande wa Taifa kuna manufaa yeyote?
  9. Halaiser

    JamiiForums Tanzania Mbunge Simai: Serikalini kuna Yuda, huko nyuma amewahi kutajwa ni mzigo, amewaumiza watu wengi

    Ukiona kifaranga juu ya chungu, basi ujue mama yake yuko ndani.
  10. Halaiser

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Kama kuua wakati na baada ya Oktoba 29, 2025 ni kazi ya kutukuka, Tume mlizounda ni za nini?

    Mali huuzwa ili kumpeleka Mhanga kwenye matibabu. Hayo yote ni kupambania uhai wake. Nyumba ikiwa inashika moto, waokozi siku zote huuliza, kuna watu ndani? Kama wapo basi huwaokoa wao kwanza na si samani zilizopo ndani. Why? UHAI KWANZA. Cha ajabu hawa wapuuzi waliolewa madaraka, wao wanawaua...
  11. Halaiser

    JamiiForums Tanzania Waacheni Warudi Lakini Wasitutoe Kwenye Reli: Je, Hii ni Mkakati wa CCM Kudhoofisha CHADEMA?

    Watz siyo wajinga. Watang'amua mapema sana kila aina hujuma kabla ya utekelezaji.
  12. Halaiser

    JamiiForums Tanzania Mwigulu: Awamu ya 5 kuna Kiongozi mkosoaji alishambuliwa ilionekane ni Serikali

    Mwigulu unasema tuwe macho tusikubali kugawanywa na watu wenye nia ovu. Hupni kwamba wewe ndiye unaewagawa watu kwa uongo wako?? Kumbuka kutakuwepo na kundi litakalokuunga mkono na kundi lingine litasimamia ukweli hivyo kukupinga. Uongo unakusaidia nn? Uliwahi kutamka Bungeni kuwa una ushahidi...
  13. Halaiser

    JamiiForums Tanzania Tumemtuhumu Mafwele peke yake bila kumtaja anayemtuma. Mafwele hatoboi 2029

    Uchawi hauazimwi. Abebe matunguri yake mwenyewe. Damu alizomwaga zitaendelea kupaza sauti hadi Mungu aamue ugomvi.
  14. Halaiser

    JamiiForums Tanzania ACT Wazalendo acheni uduwanzi wa kisiasa. Kama mlitambua tume ya uchaguzi ni batili na haiko huru mliingia kwenye uchaguzi ili iweje?

    Wanafiki tu hawa. Kuna kitu kinaabdaliwa tuwape muda kitakuwa wazi.
Back
Top Bottom