Suala la Katiba Mpya limepigiwa kelele sana. Tatizo limekuwa ni chama tawala kwa kulichukulia kama ni hisani toka kwao.
Tukiendelea kutegemea utashi wa kiongozi aliye madarakani ili kupata Katiba Mpya tumekwisha. Hata akiwa na utashi huo hawezi kulikamilisha kwani atakumbuna na vikwazo vingi...
Kuna kakikundi kadogo kanachojidai kuwa Tanz ni mali yao. Hivyo Watz wote wako chini yao. Kikundi hicho hakiamini ktk Katiba wala Sheria za nchi bali ktk nguvu ya dola. Masuala yote ovu yanasimamiwa na karatibiwa na kikundi hicho ikiwemo la ununuzi.
Wanaowanunua Wanachadema hasa viongozi siyo...
Bora u.ewashutukia tuwapuuze kama wapuuzi wengine.
RA aliwahi kuwaambia "inapigwa simu moja tu toka juu Mahakama chali". Walikuwa wapi? Ni wazi Mihimili mingine imetekwa na ule uliojichimbia chini zaidi.
Wote wametokea kwenye mwamvuli ule ule wa Chama cha Wauaji. Mipango yote hiyo hupangwa huko huko kwenye chama chao chini ya M/kiti wao wa CCM. Huwezi tenganisha CCM na maovu yote yale na kumbebesha lawama M/kiti wao pekee.
Hakuna kitu kibaya alichofanya Magufuli kama kujijengea imani kwa raia yeye kama yeye. Badala ya kuhakikisha nchi inajijengea mifumo bora na imara isoyoyumbishwa na yeyote yule.
Kama angehakikisha tunapata Katiba Mpya yenye kupunguza au kuondoa baadhi ya madaraka ya Rais kama "kuteua/kutenda...
Hawa watu wamechanganyikiwa hawajui nini wafanye na kwa wakati gani.
Uchaguzi wao wa maigizo ulishanalizika lkn hata wao wenyewe hawajui hilo. Sehemu nyingi kwenye nchi yetu bado mabango ya kampeni yamejazana. Wameishiwa maarifa kazi iliyobaki ni maigizo tu.
Hawa askari waliojazwa mitaani...
Yeye mwenyewe akili zake namna A" anang'ang'ania madaraka hadi leo. Matokeo yake kuanza kuwasimanga watu waliomiliki chuma toka enzi zile.
Serikali iwaondoe namba A wote Serikalini waajiriwe namba E" full stop.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.