ZAWADI YA ADHABU
SEHEMU YA KUMI NA MOJA
imefundishwa kuwa…
Mambo mengi yanayotuponza ni yale ambayo tunayafanya kwa kuwa ni ya hiyari. Kama mambo yote yanayotuzunguka yangalikuwa ni sheria, tena zisizotupa hiyari ya kuzitii ama la, huenda, narudia tena, huenda, kila kitu kingekuwa tulivu zaidi...