Pamoja na hoja yako nzuri naomba unisaidie hapo kwenye red. Hivi Tanganyika inachangia kiasi gani katika muungano, hebu tupe takwimu taadhali kwa faida ya wanajamii.
Usijitukanishe, ukawatukanisha na Watanganyika wenzako, Tumekustaarabisheni, tumekufundisheni kuzungumza bali hata kuvaa nguo, unawatukana Wazanzibari na lugha yao asilia, wewe mwehu, na hujitambui.
Kutoka kwa Abdulrahman Mohamed
INAWEZA KUJITEGEMEA?
Muelekeo wa Makala ya Habari Leo ambao ni wazi Omar Ilyas anauunga mkono kama silaha yake dhidi ya mabadiliko katika muungano ni kuwa Zanzibar inafaidika na Muungano kwa kutochangia, na by implication haitaweza kujiendesha yenyewe. Ndio maana...
Huyu mzee ni islamphobia, na ndicho kinachomsumbua basi. Lakini naona atapata presha bure...wamejaribu kuizibia znz kwa muda wote huo, sasa hawana jinsi tena
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.