Msaada mwenye kujua android app ya uhakika ambayo itanisaidia kudownload mp3 music au videos mbalimbali kwenye simu.
Sent from my SM-A307FN using JamiiForums mobile app
wakuu salama? nahitaji shoo ya nadia .. hicho kipande cheusi chenye logo ya toyota.. niko tanga . huku nimekosa. naomba connection ya huko town kama kuna mtu anauza ili tuwasiliane ninunue.whatsap 0674 149565.
jaman nafikilia kuinunua hii gari lakn sijaifahamu vizur. cjafahamu ulaji wake wa mafuta i mean kwa lita moja inatembea km ngapi? tatizo lake sugu ni lipi na uzur wake ni upi? bado naumiza kichwa kupata majibu sahihi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.