Recent content by Haki ni haki

  1. H

    Majina ya Wabunge Viti Maalum hadharani: CCM-64, CHADEMA-36, CUF-10

    Majina ya awamu ya pili viti maalumu CHADEMA 1.Grace Tendega 2.Sophy Mwakagenda 3.Suzy Lyme 4.Matrida Morandi 5.Lucy Magerele 6.Suzy Peter 7.Cecy Paresso 8.Concesta Leyuiza 9.G.Kiwelu 10.Lucy Kiyobi 11.Devo MINJA 12.Joyce Fotombi 13.Rose Kamati 14.Yosefa Komba 15.Upendo Peneza...
  2. H

    Majina ya Wabunge Viti Maalum hadharani: CCM-64, CHADEMA-36, CUF-10

    .Grace Tendega 2.Sophy Mwakagenda 3.Suzy Lyme 4.Anotropia 5.Lucy Magerele 6.Suzy Peter 7.Cecy Paresso 8.Concesta Leyuiza 9.G.Kiwelu 10.Lucy Kiyobi 11.Devo MINJA 12.Joyce Fotombi 13.Rose Kamati 14.Yosefa Komba 15.Upendo Peneza 16.Gimbi Kinyanda 17.Aida 18.Dr.Swale Sesemi 19.Suzy...
  3. H

    Majina ya Wabunge Viti Maalum hadharani: CCM-64, CHADEMA-36, CUF-10

    sasa nafikiri mtakubariana na mimi , chadema kuchukua nchi bado sana,kwa mfano ukimeangalia mtu kama Devota minja.kwanii hasa kateuliwa, lakini sio kwamba akuna wapambanaji kati ya hawa. ninachokiangalia ni plan gani chama kina panga kupambana na ccm, sioni. ninachokiona ni vijana kutumiwa...
  4. H

    Majina ya Wabunge Viti Maalum hadharani: CCM-64, CHADEMA-36, CUF-10

    kifo cha chadema sasa kimefika kamakweli majina hayo, ni kweli. nawea kuona kabisa ACT inakwenda kuwa chama cha kikuu unin..ni
  5. H

    Ukawa bado ngoma ngumu... wagombania majimbo

    Fanya siasa kubali ukweli ukawa tunachemsha sasa.kubali kukosolowa ngoma nzito kugawa jumbo kwa chama kisicho hata na ofisi noma
  6. H

    Mbowe na Lowassa yawezekana wakawa tatizo CHADEMA

    Watanzania huenda wakijua biashara ya Mbowe na Lowassa watajiona wanavyo fanywa wajinga. Na zaidi wanachama wa CHADEMA, Mbowe sasa ni Mungu mtu ndani ya chama kiasi cha kuwanyima haki ya kuwachaguwa wabunge wanao wahitaji katika majimbo yao. Wakati majimbo ya Kaskazini akigawana na marafiki...
  7. H

    Mbunge Wa CCM kulikabidhi jimbo la NKENGE mikononi mwa Meshack Mucus CHADEMA octoba

    Tusubiri kuna vichwa vya kutosha sio huyo an aye jinadi kwenye mitandao. Mwambieni atuache sisi hapa mwanza akapambane apeleke maenxeleo ya mtandao ili ...
  8. H

    Mbunge Wa CCM kulikabidhi jimbo la NKENGE mikononi mwa Meshack Mucus CHADEMA octoba

    Wewe meshaki unachekesha sana. Usijifanye unauwezo gain?hata majirani zako uwajui. Kwa sasa Nkenge tunataka mbunge mwenye maono. Tumekusikia malanyingi unajigamba mwenyewe tu. Kama siasa unaiweza ya kuwakomboa wana Nkenge. Achana na siasa za mitandao nenda kapambane name watia nia wenzio a cha...
  9. H

    Mbunge wa Nkenge, Asumpta Mshama lazima ung'oke 2015!

    Kamala usidanganywe Nkenge uwezi kutoboa yupo Valerian anatisha zaidi ya jinsi ulivyo wahi sikia. Jifunze kucheza ngoma.
  10. H

    sasa chadema wana uhakika

    Kwa salsa Cdm imeongezewa nafasi ya kuingia ikulu
  11. H

    kama unaunga mkono hoja. 100% .lakini inatoka wapi?

    Hili nijambo ambalo nafikiri . labda ni shida. Ya maneno ya kiswahili hii noma sana. Ukawa njia hipo wazi kuelekea ikulu.
  12. H

    Moto wa ACT-Wazalendo kama umepungua vile

    Act.... Watafanya vizuri pale ukawa itashindwa kujua democrasia name kugawana majimbo kama CCM wanavyo peana ubunge kama zawadi
Back
Top Bottom