sasa nafikiri mtakubariana na mimi , chadema kuchukua nchi bado sana,kwa mfano ukimeangalia mtu kama Devota minja.kwanii hasa kateuliwa, lakini sio kwamba akuna wapambanaji kati ya hawa. ninachokiangalia ni plan gani chama kina panga kupambana na ccm, sioni. ninachokiona ni vijana kutumiwa...
Watanzania huenda wakijua biashara ya Mbowe na Lowassa watajiona wanavyo fanywa wajinga.
Na zaidi wanachama wa CHADEMA, Mbowe sasa ni Mungu mtu ndani ya chama kiasi cha kuwanyima haki ya kuwachaguwa wabunge wanao wahitaji katika majimbo yao.
Wakati majimbo ya Kaskazini akigawana na marafiki...
Tusubiri kuna vichwa vya kutosha sio huyo an aye jinadi kwenye mitandao. Mwambieni atuache sisi hapa mwanza akapambane apeleke maenxeleo ya mtandao ili ...
Wewe meshaki unachekesha sana. Usijifanye unauwezo gain?hata majirani zako uwajui. Kwa sasa Nkenge tunataka mbunge mwenye maono. Tumekusikia malanyingi unajigamba mwenyewe tu. Kama siasa unaiweza ya kuwakomboa wana Nkenge. Achana na siasa za mitandao nenda kapambane name watia nia wenzio a cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.