Mm
Mm nimekaa Kenya mkuu, huwezi nidaganya kitu!! Umeme mpaka vijijini, lami mpaka vijijini, mpaka mabwawa wamechimbiwa vijijini, mpaka vyoo vipo mpaka visimani!!! Usinidanganye kabisa mkuu kuwafikia wakenya leo labda miaka 50 ijayo sio leo
Mm
Mm nimekaa Kenya mkuu, huwezi nidaganya kitu!! Umeme mpaka vijijini, lami mpaka vijijini, mpaka mabwawa wamechimbiwa vijijini, mpaka vyoo vipo mpaka visimani!!! Usinidanganye kabisa mkuu kuwafikia wakenya leo labda miaka 50 ijayo sio leo
Ufunuo wa Yohana 21:1
Kisha nikaona mbingu mpya na nchi mpya; kwa maana mbingu za kwanza na nchi ya kwanza zimekwisha kupita, wala hapana bahari tena.
Ufunuo wa Yohana 21:2
Nami nikauona mji ule mtakatifu, Yerusalemu mpya, ukishuka kutoka mbinguni kwa Mungu, umewekwa tayari, kama...
Ufunuo wa Yohana 21:1
Kisha nikaona mbingu mpya na nchi mpya; kwa maana mbingu za kwanza na nchi ya kwanza zimekwisha kupita, wala hapana bahari tena.
Ufunuo wa Yohana 21:2
Nami nikauona mji ule mtakatifu, Yerusalemu mpya, ukishuka kutoka mbinguni kwa Mungu, umewekwa tayari, kama...
Mambo ya ajabu sana haya. Alafu ndo wanasema eti hamna hela kweli! CCM tumewachoka hamna aibu jamani, kukagua daraja la miti miaka hii? Watanzania nani katuroga? Tunahitaji katiba mpya!
Ufunuo wa Yohana 13:16
Naye awafanya wote, wadogo kwa wakubwa, na matajiri kwa maskini, na walio huru kwa watumwa, watiwe chapa katika mkono wao wa kuume, au katika vipaji vya nyuso zao;
Ufunuo wa Yohana 13:17
tena kwamba mtu awaye yote asiweze kununua wala kuuza, isipokuwa ana chapa ile...
Ufunuo wa Yohana 13:16
Naye awafanya wote, wadogo kwa wakubwa, na matajiri kwa maskini, na walio huru kwa watumwa, watiwe chapa katika mkono wao wa kuume, au katika vipaji vya nyuso zao;
Ufunuo wa Yohana 13:17
tena kwamba mtu awaye yote asiweze kununua wala kuuza, isipokuwa ana chapa ile...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.