Serikali ya Tanzania kukumbatia dini hasa viongozi wa kikristo na kiislam kutaiponza kwani hawa ndiyo chachu ya anguko la HAKI kwa kufanya kinyume na wanayoyahubiri wamekuwa wezi,vibaraaka,mafisadi,wango,matajiri,nk kwa maslahi yao na viongozi mafisadi.
Hawana hekima na busara za kutumika...
Wao serikali walikuwa wapi na hakuna wengine waliovuna mapato kupitia app zao kama mange?kwanini wasiwajibishwe waliomuacha avune mapato bila kulipa kodi?
Sasa yenye makosa ni katiba au yeye nyie vipi,mmeshindwa kubadirisha katiba kwa nguvu na uzalendo mnaanza kukurupuka kwa matusi na fujo,my friend hamuwezi kupata vitu vyote mnachotaka kwa pamoja lazima muwe na mpango kazi mnaanza na kipi che umuhimu zaidi na mnamaliza na kipi che umuhimu mdogo...
Pumbavu aache kuwa mama yako aliyekubali kuolewa na baba yako masikini na kuzaa na kushindwa kukuandalia maisha bora kwa kuitafuta haki yako ambayo leo unaidai kiuficho kupitia jfniwe mimi,ebo!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.