Recent content by HAKI KWA WOTE

  1. H

    PostGE2025 Serikali iachane na kukumbatia dini kama silaha ya msaada itaiponza

    Serikali ya Tanzania kukumbatia dini hasa viongozi wa kikristo na kiislam kutaiponza kwani hawa ndiyo chachu ya anguko la HAKI kwa kufanya kinyume na wanayoyahubiri wamekuwa wezi,vibaraaka,mafisadi,wango,matajiri,nk kwa maslahi yao na viongozi mafisadi. Hawana hekima na busara za kutumika...
  2. H

    PostGE2025 Tunaomba Jeshi la Marekani lije kulinda Waandamanaji Desemba 9 kuepuka mauaji mengine ya halaiki

    Yaani wewe ni mpumbavu na nusu unaropokaropoka tu bila kufikiria kwanza hata vitu ambavyo haviwezekani
  3. H

    PostGE2025 Wazee waanza kukosa seat kwenye daladala, GenZ hawana utani

    Mngese wewe kwa uchochezi uko vizuri mbwa wewe
  4. H

    PostGE2025 Haitafika mwezi February 2026, kutakuwa na Jeshi la kulinda Amani ndani ya ardhi ya Tanzania

    Pumbavu kenge kabisa liache kwenda kenya lije Tanzania kwa kipi hasa?acha uchochezi wa kimalaya
  5. H

    Kesi ya Mange Kimambi inaweza kumwelemea sana kwasababu App yake ilivuna mapato illegally

    Wao serikali walikuwa wapi na hakuna wengine waliovuna mapato kupitia app zao kama mange?kwanini wasiwajibishwe waliomuacha avune mapato bila kulipa kodi?
  6. H

    META wamekata kiu ya wazalendo wengi wa Tanzania. Pongezi kwao.

    Ni kweli kabisa nchi haina kosa bali ina viongozi wabovu ambao wanatakiwa kujulikana na kuwajibishwa kwa njia halali siyo vurugu
  7. H

    PostGE2025 Rais Samia hana kosa lolote makosa yako kwenye wingi wa wasaidizi wabovu anaowakumbatia

    Sasa yenye makosa ni katiba au yeye nyie vipi,mmeshindwa kubadirisha katiba kwa nguvu na uzalendo mnaanza kukurupuka kwa matusi na fujo,my friend hamuwezi kupata vitu vyote mnachotaka kwa pamoja lazima muwe na mpango kazi mnaanza na kipi che umuhimu zaidi na mnamaliza na kipi che umuhimu mdogo...
  8. H

    Hii ndiyo huenda ikawa sababu ya mgongano wa viongozi wa dini

    Hao wamepangwa na kusetiwa na serikali kwa njaa zao
  9. H

    PostGE2025 Rais Samia hana kosa lolote makosa yako kwenye wingi wa wasaidizi wabovu anaowakumbatia

    Pumbavu aache kuwa mama yako aliyekubali kuolewa na baba yako masikini na kuzaa na kushindwa kukuandalia maisha bora kwa kuitafuta haki yako ambayo leo unaidai kiuficho kupitia jfniwe mimi,ebo!!
Back
Top Bottom