Recent content by Hajma

  1. H

    JamiiForums Tanzania Busara kidogo inahitajika katika hili

  2. H

    JamiiForums Tanzania Mitoto unaihangaikia peke yako ikifika ukubwani inaenda kutafuta ukoo wao...

    Ni kweli mama lazima akasirike na mtoto lazima uwe na huruma kwa mama / kwa mlezi wako. Mimi nimelelewa na mama na baba wa kambo ukoo wangu kwa baba nawajua ila sina Shobo nao na wale wachache niliowahi kukaa nao niliwaambia najisikia amani zaidi nikiwa na ndugu wa kwa mama kuliko kwa baba. Japo...
  3. H

    JamiiForums Tanzania Wanawake, mnaponyaje maumivu ya kusalitiwa na wenza wenu?

    Samahani dada yangu, kwa miaka kumi na tano ya ndoa inafaa nikuite dada. Nimekuomba Samahani kwa sababu we ushauri wa tatizo lako umeomba kwa wanawake na mimi ni mwanaume ila nakuomba usinipuuze nisikilize kama hutojali. Kama umeamua kuiponya ndoa yako naomba fanya haya. Anza kufanya wewe yale...
  4. H

    JamiiForums Tanzania Rais Samia katuthibitishia matumizi ya Kiswahili hayakuwa kukikuza bali kuna mtu lugha ya Kimataifa hakuiweza

    Inabidi akushukuru hata huko kumjibu
  5. H

    JamiiForums Tanzania My True Love Story: Dear Single Mother, huyo mtoto siyo wangu

    Ulipo Ulipo hack simu yake na kuona anagongwa na wengi then ukaendelea maanake ulikuwa tayari kulea damu ya yeyote miongoni mwenu itakayorutubisha. Sasa leo unakataa ndio maana tunasema maelezo yako ni uongo
  6. H

    JamiiForums Tanzania My True Love Story: Dear Single Mother, huyo mtoto siyo wangu

    Na kutokana na kwamba maelezo yake ni ya upande mmoja na yamejaa kujitetea naungana na wewe kutoamini kama kilichoandikwa hapa ni cha kweli
  7. H

    JamiiForums Tanzania Kwanini wamama mnatutesa vijana?

    Hata wangekuwa wao wasingevumilia kutapeliwa nauli na wasije. Halafu hapo hapo kuna wengine wanaweza kuja au kuonana bila masharti
  8. H

    JamiiForums Tanzania Kwanini wamama mnatutesa vijana?

    Siyo kweli wengine tuna vibarua vyetu na tunajipatia ridhiki zetu halali ila usumbufu wa mabinti wadogo wa kutuma nauli na asije bila sababu inatufanya tutafute pumziko kwa wamama
  9. H

    JamiiForums Tanzania True story: Nimeamua kumkataa mtoto rasmi

    Haya mambo wanaume karibu wote hututokea ila wengine tukishaona dalili tu za kugeuzwa boya huwa tunaacha kimoja sasa sijui mleta mada akifeli wapi
  10. H

    JamiiForums Tanzania True story: Nimeamua kumkataa mtoto rasmi

    Sawa boss natumaini sijakuudhi
  11. H

    JamiiForums Tanzania True story: Nimeamua kumkataa mtoto rasmi

    Naunga mkono hoja, mara nyingi sisi wanaume huwa tunakosa maamuzi halafu tunasingizia limbwata. Mtoa mada tangu aliposhtukia kuhusu mimba ya kwanza ilipotolewa angechukua hatua ngumu haya yote yasingetokea
  12. H

    JamiiForums Tanzania Changamoto za wake vibonge

    Binafsi nawakubali sana vidonge Mungu awabariki sana
  13. H

    JamiiForums Tanzania Nilichomfanya X wangu sijui huko alipo atakuwa anajisikaje

    Kweli maana huko aliko anawaza kuwa bwege bado ananipenda yule, na ndio ukweli
Back
Top Bottom