Recent content by hajjat

  1. H

    Interview ya tanuri media group ni kesho

    Jamani kaeni vzr na simu zenu kwani leo Tanuri Media Group wanapigia watu simu kwa ajili ya interview.......mie wamenipigia na kunambia kesho sa tatu asbh ni intervew,gud luck to each other
  2. H

    Access bank hakuna dili

    we naona unamawazo ya mgando mpaka kichefuchefu........UJASIRIAMALI mtaji napata kwa BABA YAKO?????????
  3. H

    Access bank hakuna dili

    Poa nimekupata
  4. H

    Access bank hakuna dili

    Poa kaka nimekupata
  5. H

    Access bank hakuna dili

    Nlisagn kana CASHIER,sio siri nimechemka,Iam nt rate myself at low thats y nimeweka upumbavu huu mezani kuwajuza na wengine wasije jua kuna ishu uku ACCESS
  6. H

    Access bank hakuna dili

    daah,Aksante sn yan hapa nlipo nimechoka we acha tu
  7. H

    Access bank hakuna dili

    Jamani,mwenzenu nliitwa interview ya CASHIER J5 hii na Jana nikaitwa kuanza kazi,Niliexpect kutakuwa na training flani kwa ajili ya hii kazi,ila walichonifanyia ni kunipa buku(1000/=) na kunambia niende kigamboni kutafuta wateja,hii leo nipo tandika na nimepewa tena buku........najiuliza mimi ni...
  8. H

    sifa za kujiunga jwtz

    Inategemea unajiunga kama professional ama elimu ya kawaida......Kama elimu ya kawaida usizidi miaka 25 na kama professional miaka yeyote,usiwe na ulemavu wa aina yeyote ikiwemo kuwa na kitovu kikubwa,kutokuwa na uvungu kwenye mguu(miguu flat haitakiwi-huwa haiwezi mazoezi makali),matege,BP...
  9. H

    Je bikra yaweza toka yenyewe?

    haiwezekani,kuna kitu........hatakama bikira uweza toka yenyewe ila sio kwa kipimo cha kuona uwazi namna hiyo,bikira ni kitu kidogo sana ambacho ikitoka kwa kawaida( bila kuingiliwa).....haiwezi toa hiyo hali .nashaur akamwone DR,kuna kitu
  10. H

    What if spermatozoa not seen three timez

    Thanx kaka i will in dar by next wk ntaenda na mr,Allah akubariki
  11. H

    What if spermatozoa not seen three timez

    Thanks much,ila utanisaidia zaidi kama kutakua na dr unamfahamu whereva ntafurah zaidi
  12. H

    What if spermatozoa not seen three timez

    yaah kaka angu,thats what i do want,if anyone know aweke hewani,I ril mean it wadau
  13. H

    Vacancies announcement

    xv. Dead line for application is 8th March, 2012 at 3:30 p.m, Hii deadline wamekosea au? Tuko pamoja ngoja tuzidi fatilia
  14. H

    Natokwa jasho jingi sana kwapani

    Umepona kaka wala usiwe na shaka,nenda maduka ya kiasili uliza SHABU,ni elfu moja tu.Ipo kama chumvi.... chota kiasi weka kwenye kikombe tia na maji iwe ndo deodorant yako........UTANAMBIA,Au kama una kishupa cha deodorant kilichoisha weka iyo shabu kiasi na maji then unajipaka kila...
  15. H

    What if spermatozoa not seen three timez

    Habari za asbh DR.mimi ni Mrs,ni mwaka wa nne sina mtoto na tumejaribu kwenda hsp mbalilmbali na majibu tuliyopewa ni kwamba: mimi nipo sawa kabisa ila mwenzangu no Spermatozoa seen ila checkup zengine yupo sawa,Dr Tunaweza kupata watoto? Tusaidie tafadhali.........Aksante sana
Back
Top Bottom