Moja ya sheria ni hii kuhusu tume kuwa na nguvu ya kutangaza matokeo ya rais na yasihojiwe wala kupelekwa mahakamani. Bila hii katiba kurekebisha kwa maslahi ya wananchi utaisoma NAMBA MPAKA UNAZIKWA.
Mimi ninawapongeza sana wananchi waliowapiga chini wale wabunge mizigo waliokua na kazi ya kupiga makofi kwa kila hoja zilizokua zinaletwa bungeni na wao kuziptisha bila kujua athari zake.
Niko hapa mbauda kata ya sombetini. Mwamko ni mkubwa sana watu ni wengi sana wamama kwa wababa. Vijana ndo usiseme. Wasimamizi wanawaongoza watu vizuri sana
Hapa Arusha ccm wameweka bendera zao mitaa ya philps hadi sanawari ni nyingi. Nilihisi wahuni wangezitoa ila hakuna anaezigusa jinsi wanavyoiogopa ccm.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.