Hajakosea lakin ameongea jambo la maana..kwan bro magu ni moja ya ahadi zake atadeal na mafisadi,sijapenda ulivyocoment...ni haki kabisa kudeal na mafisadi na tujue ukweli yupi fisadi na yupi siye
Sio mleta mada akili yake iko mfukoni ni wewe akili yako iko mfukoni..ukiulizwa unashabikia ccm kwa lipi utasemaje wewe?toa sababu nijue kuwa wewe sio mbulula
Asante bababaaaaaa waambie hao...nishasemaga huku ndani magufuli mi mropokaji na muongoooooooooo...ahadi anazotoa ni za uongo juzi kasema atajenga uwanja wa ndege wa mwanza uwe kama geneva uswisi dooh??????!!!!!pia alisemaga atajenga hospitali ya rufaa kila mkoa,atajenga kiwanda kila mkoa dooooh...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.