kweli zipo vvti lakini ni tofauti saza mpaka kwenye matengenezo spare ila vvt ni bora kuliko 1g fe katika kupaform vvt ipo vzr ila inahitaji uangalizi wa hali ya juu sana
Mkuu
ni kweli lakini kilainishi cha gari asikudanganye mtu. Inategemeana na na engine ya gari lako ni aina gani na model wa mwaka gani. Huwezi kuchukua oil ya APS ambayo ni monograd ukaiweka kwenye engine ya kisasa. Au 20w50 ukaiweka kwenye uhitaji wa 5w30 utaikuwa uanauwa mashine yako bila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.