Kiukweli, IS wameua waislam wenzao wengi zaidi ya wakristo, sijaelewa why? Maana ukiachana na tukio la ufaransa na ndege ya Russia Egypt, victims wao wamekua Muslims humo humo ndani ya Syria, Mara kadhaa wame bomb misikiti na maeneo mengi arabuni
Ilifika pahala watu wakasema huenda IS iliundwa...
Haitanisaidia kutatua tatizo?
Kuna pahala umesoma nahitaji kutatua tatizo?
Opportunist?
Unajua maana ya hili neno kweli?
Kati ya mwanamke na mm nani opportunist hapo?
Kila jambo alifanyalo mwanadam ni lazima atake responsibility for her actions
Think before you do anything foolish
Yaani...
Ndio maana yake, ukiwa na tamaa kwenye maisha ya mapenzi lazima yatakukuta mabaya, haina tofauti na msichana anasomeshwa na mwanaume flani then akipata kazi anamkimbia kwa tamaa, kwa mtindo huu mtaendelea kufa kwa kuchinjwa sababu ya kuwa ma snitches
Hakuna utakaemtendea hivi akuangalie
Tamaa...
Ha ha ha duu mtu hunijui sikujui, wala mwanamke mwenyewe ninaemzungumzia humjui halaf povu limekutoka namna hii, kweli Jf kuna watu wamechanganyikiwa
Hii ya Leo Kali duu
Wadau,
Jana niliwaeleza kuhusu jipu moja linalohitaji kutumbuliwa
Jipu hilo ni msichana wangu ambae amepiga u turn ghafla na kuamua kuolewa na mwingine, akisahau kuwa mimi najua siri yake ya kughushi vyeti.
Baada ya ushauri wenu nimefikia hitimisho la kumchomea kazini kwake kuwa anatumia...
Wana jamvi nawasalimu,
Kuna msichana wangu ambae tumedumu nae kwa miaka 2 sasa, elimu yake ni form six, alifeli, tulipanga mipango mingi ya maisha pamoja, ikiwemo kufunga ndoa.
Tukaona kwamba ni vema na yeye apate kazi ndipo tuweze kufunga ndoa, kikwazo ikawa ni shule, ni makampuni machache...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.