Recent content by hagonga

  1. H

    Kazi ya kwanza ya Wizara mpya ya Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari iwe ni kuruhusu Watanzania kupokea malipo kupitia Paypal

    Uko sahihi, top five companies kwa utajiri duaniani ni Tech companies. Mfano: Google, Amazon and others. Digital business in potential kubwa sana kwa sasa na hata baadaye
  2. H

    Kazi ya kwanza ya Wizara mpya ya Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari iwe ni kuruhusu Watanzania kupokea malipo kupitia Paypal

    Kwa mtazamo huo. Hata kama PayPal na payment processors wengine hawaoni potential kubwa kwa Tanzania, ni vema Serikali yetu kuwavuta waje kufungua huduma kwetu kwa kuzingatia maslahi mapana ya uchumi wa nchi na ajira kwa vijana. Mwelekeo na hali ilivyo kwa sasa duniani uchumi kwa sehemu kubwa...
  3. H

    Kazi ya kwanza ya Wizara mpya ya Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari iwe ni kuruhusu Watanzania kupokea malipo kupitia Paypal

    Asante sana Chige, perfect Explanation! Watanzania tupende elimukama hizi ili tufanye maamuzi ya busara. Hatuwezi kujitenga na mfumo wa kidunia tukitaka kusonga mbele kiuchumi.
  4. H

    Kazi ya kwanza ya Wizara mpya ya Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari iwe ni kuruhusu Watanzania kupokea malipo kupitia Paypal

    Hivi hakuna kiongozi Serikalini anayepitia hizi kilio cha wananchi kwa manufaa mapana ya Taifa? Naamini biashara ya online ikisimamiwa vyema ni fursa ya ajira kwa wananchi na chanzo cha mapato kwa serikali
  5. H

    Kazi ya kwanza ya Wizara mpya ya Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari iwe ni kuruhusu Watanzania kupokea malipo kupitia Paypal

    Yes, Ni kweli. Haya mambo yako chini ya uwezo wa serikali na yanawezekana. Kuna haja kubwa kwa wananchi kuruhusiwa kuendana na technologia ya dunia. Si vizuri kubaki nyuma.
  6. H

    Kazi ya kwanza ya Wizara mpya ya Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari iwe ni kuruhusu Watanzania kupokea malipo kupitia Paypal

    Mleta uzi, Hongera kwa mada nzuri. Kwa kweli inasikitisha kwamba watanzania tunaweza kununua tu huduma nje ya nchi lakini hatuwezi kulipya au kupokea malipo kutoka nchi za nje. Hili jambo liangaliwe kwa haraka na wizara husika. Nina hakika kama PayPal na Stripe zitaruhusiwa nchini, naamini...
  7. H

    GE2020 Prof. Lipumba: Kura sio siri tena

    uko sahihi mkuu
  8. H

    GE2010 Regia Mtema kupata ushindi wa kishindo Kilombero

    Hongereni wana kilombero. Kazi kwetu kesho!
  9. H

    GE2010 Congrats JK.... Umeweza Mdahalo/Mahojiano

    Labda kwako wewe tu uliona JK kafunika, lakini kwa wenye akili na ufahamu wa kujua kulinganisha/kutofautisha hoja, JK ni 0.0000001%
  10. H

    GE2010 Kikwete on ITV, maswali na majibu toka kwake

    Heri huu mdahalo umerushwa na vyombo vingi vya habari nchi nzima ili watu wajionee mgombea anayeomba kipindi kingine. Wampime na waamue. Ama kweli anahitaji kupumzishwa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
  11. H

    GE2010 Kikwete on ITV, maswali na majibu toka kwake

    Hata mwuliza swali anamshangaa kwa ajibu yake! Lol!
  12. H

    GE2010 Kikwete on ITV, maswali na majibu toka kwake

    Naona amemsaidia kiravu na makame kujibu hoja zenye utata.
  13. H

    GE2010 Kikwete on ITV, maswali na majibu toka kwake

    Jamani, makamba lol! alivyokaa
  14. H

    GE2010 Kikwete on ITV, maswali na majibu toka kwake

    Mbona hawakufanya kwa wagombea wengine?
Back
Top Bottom