Taarifa za jamaa kukoma uongozi nilizitoa mapema humu.Huyu ndugu hakuwa kiongozi wakati kinana amekuja,alishakoma kuwa kiongozi.Nashangaa sana kama mwanachama aliyetimuliwa kwa ubadhirifu na matumizi mabaya ya mali za chama,anapokewa kwa kishindo namna hii basi CCM kimejimaliza Chunya.Mngefanya...
NANI MDINI KATI YA CCM NA CDM?
Facts
CCM LEADERSHIP
Mwenyekiti mwislam, katibu mkuu mwislam, katibu mwenezi mwislam
serikali yake
rais islam
makamu rais islam, jaji mkuu islam, mkuu wa majeshi islam, mkuu wa jeshi la polisi mwislam nk
nw judge by yrself.
Ukijiingiza kwenye hilo kundi la watu makini utafahamu jinsi alivyoshindwa na madudu aliyoyafanya yametosha kufanya aonekane kilaza kwani waliomchagua walikuwa binadamu,wangeweza kukosea,KILAzA NI KILAZA tu.Mtu mnafiki anapofikia kuonyesha tabia yake halisi ni zaidi ya kilaza.Mkuu Mchukueni...
Aliyekuwa Katibu wa CDM wilaya ya CHUNYA ndg.Bryson Mwansimba anatarajiwa kutua CCM hivi karibuni.Bryson Mwansimba alijiuzuru kufuatia ziara ya Katibu mkuu Dr.Wilbroad Slaa kubaini madudu mengi aliyokuwa akiyafanya ikiwa ni pamoja na kuweka bondi pikipiki ya Chama.Kutokana na kuhofia...
Kaka yangu Lema
Nasikitika sana kwamba taifa halikuelewi.Misingi ya thamani ya Utu wetu si swala kwa wanasiasa wetu.Wengi ni wepesi kwa hoja nyepesi mno.Thamani ya utu wetu ikizingatiwa basi ni fungu moja la yote mema tunayoweza kutaja kwa taifa.Jitahidi usikate tamaa.Najua Unapingana na WOGA...
Karibu Mkuu Mpalisya.Heshima yako!
Ni kweli ni dhambi kusema uongo lakini ni dhambi piakuficha ukweli.Kama tunaujua ukweli si tu haki kuutetea lakini wajibu wetukuuweka wazi.Nitauweka wazi.
Kumkana MasingijaJilala ni usaliti usio na kipimo.Muuaji huyu si tu rafiki ya Mhe.Mbunge bali nimpambe...
Sijui anauelewa gani kuhusu uwakilishi wa wananchi.Kazi kubwa ambayo amewahi kuifanya nikikumbuka ni kuwa mseamji wa Harrison Mwakyembe basi.Husikii jambo lolote analopigania.Haiwezekani wilaya kongwe na tajiri kama Chunya iliyo na karibu kila kitu bado hali ya maisha ni mbaya kiasi hiki.Wachina...
Anaweza kuwa alikanyaga,lakini ni katika shughuli binafsi labda za biashara ya mbao au kusafirisha tumbaku.Tulimtuma atuwakilishe,atuletee mrejesho wa yale tuliomtuma,hatumuoni akija kama alivyokuja kwa unyenyekevu wakati wa kuomba kura,Kuja tunakozungumzia ni kufanya kazi aliyotumwa na watu,sio...
Anaweza kuwa alikanyaga,lakini ni katika shughuli binafsi labda za biashara ya mbao au kusafirisha tumbaku.Tulimtuma atuwakilishe,atuletee mrejesho wa yale tuliomtuma,hatumuoni akija kama alivyokuja kwa unyenyekevu wakati wa kuomba kura,Kuja tunakozungumzia ni kufanya kazi aliyotumwa na watu,sio...
Salaam Mheshimiwa popote ulipo,.
Utakapo kujua hali zetu.Sisi tunajisukuma,Munguanasaidia.Hatujakuona muda mrefu jimboni,vipi uko wapi? Ni Dar es Salaam au njeya nchi? Tangu wakati wa uchaguzi 2010 ndipo tulikuona mara ya mwisho ukisemanasi.
Uliahidi mengi sana lakini mbona huyatekelezi au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.