Recent content by hadzabe

  1. H

    Freeman Mbowe na Mawaziri vivuli wa CHADEMA ambao ni good for nothing

    umemjibu vizuri sana huyu juha. anyway hawa ni wale wanaofaidika na mfumo kandamizi wa magamba :
  2. H

    CV ya Albert Msando

    huyu jamaa ana cv ya ukweli alakini nikanjanja wa hatari.... sasahivi ulizia yupo wapi kama sio mombasa kuvuta raha. ni kati ya wanasheria wakali sana japo wame base kwenye makampuni na mashirika kwani huko ndio huwa wanapiga ndefu. huyu digo alikua na yule jamaa aliejirusha ghorofani...
  3. H

    PICHA: Zitto Kabwe afunika Mkutano wa Hadhara huko Kigoma Mjini

    wanasiasa wa kigoma very cheap. mtu kama zito huweziamini ni mrahisi hivyo....sijui wamelogewa sisiemu...!
  4. H

    Zitto kuunguruma Kigoma kuanzia Disemba 21

    mabwege tu ndio watakao msapoti huyo msaliti zito. sasahivi watu wapo makini sana wanajua mbivu na mbichi. kwanza fanya tathmini zito alishinda kwa kura ngapi na ujipime Tanzania ina wapiga kura wangapi watakao ipigia chadema. aende na mambo yake mnafiki mkubwa huyo .
  5. H

    winch ya kunyanyua gari garage au car wash inahitajika haraka

    inahitajika kwa ajili ya carwash , mwenye nayo au anaejua upatikanaji wake tafadhali tuwasiliane 0754945598
Back
Top Bottom