Mhe Vincent Nyerere mgombe ubunge jimbo la Musoma mjini amezidi kuipa ccm wakati mgumu kwa kuzidi kupata wanainchi wengi katika mikutano yake ambayo anaendelea nazo jimboni.Leo amefanya mkutano mkubwa katika viwanja vya Nyasho stendi napia kumnadi mgombea udiwani.tazama picha mbali mbali za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.