Recent content by HabariChademamara

  1. H

    Mwenyekiti wa CHADEMA Mara, V.Nyerere azidi kuimaliza Ccm Musoma Mjini!

    Wakazi wa Nyasho wakiendelea kumsikiza Nyerere Leo hii.
  2. H

    Mwenyekiti wa CHADEMA Mara, V.Nyerere azidi kuimaliza Ccm Musoma Mjini!

    Mwenyekiti wa Chadema Wilaya ya Musoma KAMANDA Kayele akisema na wakazi wa Nyasho hii leo
  3. H

    Mwenyekiti wa CHADEMA Mara, V.Nyerere azidi kuimaliza Ccm Musoma Mjini!

    Nyasho kwa pamoja wamesema Nyerere Tena 2015.
  4. H

    Mwenyekiti wa CHADEMA Mara, V.Nyerere azidi kuimaliza Ccm Musoma Mjini!

    Nyerere akiwa jukuwani kusema na wana Musoma mjini hii leo
  5. H

    Mwenyekiti wa CHADEMA Mara, V.Nyerere azidi kuimaliza Ccm Musoma Mjini!

    Mhe Vincent Nyerere mgombe ubunge jimbo la Musoma mjini amezidi kuipa ccm wakati mgumu kwa kuzidi kupata wanainchi wengi katika mikutano yake ambayo anaendelea nazo jimboni.Leo amefanya mkutano mkubwa katika viwanja vya Nyasho stendi napia kumnadi mgombea udiwani.tazama picha mbali mbali za...
  6. H

    Updates: Mchakato na Matokeo ya kura za maoni ya Ubunge CHADEMA nchini kote

    wasimamizi wa uchaguzi tayari wanaendelea kutoa soma kwa wajumbe waliofika.
  7. H

    Updates: Mchakato na Matokeo ya kura za maoni ya Ubunge CHADEMA nchini kote

    Wajumbe wamefika tayari ukumbini✌✌
  8. H

    Yaliyojiri leo mapokezi ya Bulaya na Lembeli; CHADEMA waitikisa Bunda

    Kamanda Vincent Nyerere akisema na wakazi wa Bunda..
  9. H

    Yaliyojiri leo mapokezi ya Bulaya na Lembeli; CHADEMA waitikisa Bunda

    Kamanda James Lembeli naye akisema na wanainchi wa Bunda.
  10. H

    Yaliyojiri leo mapokezi ya Bulaya na Lembeli; CHADEMA waitikisa Bunda

    Wanainchi na wakazi wa Bunda waliofika kuwasikiza viongozi wa Chadema taifa,
  11. H

    Yaliyojiri leo mapokezi ya Bulaya na Lembeli; CHADEMA waitikisa Bunda

    Mwenyekiti wa Chadema mkoa wa Mara kamanda Vincent Nyerere akiwa jukuwani kumtambulisha Kamanda Ester Bulaya kwa wanainchi wa Bunda mjini.
  12. H

    Yaliyojiri leo mapokezi ya Bulaya na Lembeli; CHADEMA waitikisa Bunda

    Katibu Mkuu bawacha jukuwani muda huu!!.
  13. H

    Yaliyojiri leo mapokezi ya Bulaya na Lembeli; CHADEMA waitikisa Bunda

    Kamanda Halima Mdee Katibu Mkuu bawacha akisema na wanaBunda.
Back
Top Bottom