Chombo Voyeger 1 bado ipo kwa hewa na inakadiriwa kuwa imeshakata kilomita zaidi ya bilioni 20 hadi sasa. Aidha chuma bado inatuma ujumbe duniani unaotumia masaa 24 kutufikia..!
Dini ni ulevi mbaya sana…!
Afrika tutachelewa sana kupata maendeleo na moja ya sababu ni imani za kidini..!
Kanisa limefungiwa na kuna kesi mahakamani..! Waumini mnaenda kufanya nini hapo? Mbona Kiongozi wenu haonekani kuja hapo?
Nchi hii inaongozwa kwa mujibu wa sheria..kama waumini...
Miaka 10 mbele kutakuwa na club gani kubwa Arusha yenye hadhi ya Simba na Yanga?
Mkuu mpira wa miguu unachezwa hadharani...iyo Afrika Kusini kuna viwanja ili jenga kwa ajili ya world cup 2010 kwenye baadhi ya miji hivi leo hakuna club zinauwezo wa kuvijaza..! Miaka zaidi ya kumi imepita..!
Mkuu unajua gharama za kutunza uwanja wa watazamaji elfu 60?
Huo wa Mkapa wenye uwezo wa watazamaji elfu 60+ unafahamu huwa unajazwa ( full house) mara ngapi kwa mwaka?
Kimsingi kwa Tanzania na Afrika Mashariki na Kati na nchi nyingi za Kusini mwa Afrika hazihitaji kuwa na kiwanja zaidi ya...
Mama anapata tabu ya nini? Akubaliane na maamuzi ya mwanae ya kumpiga chini huyo dada kisha jamaa anavuta chombo nyingine ubwabwa unaliwa kama kawaa..! Chapu kwa haraka yani..!
Mkuu hapa mbona unajichanganya na kukiri mkanganyiko...kama Mungu alishapanga kila kitu na anajua hatima ya kila kitu iweje tena atoe uhuru wa mtu kuchagua wapi anapotaka kuelekea?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.