Recent content by HABAKUKK

  1. H

    GE2015 Zitto: Sitagombea Urais wala Ubunge 2015

    Zito kabwe ni jembe ila amekuja kubadilika akawa jembe pandikizi la CCM,, halafu ni mnafiki, nakumbuka kashfa ya richmondi alikuwa mtu wa kwanza kuiponda,,lakini baadaye akanunuliwa na mafisadi akaanza kuwatetea,,nilimfuatilia kwa makini sina hamu naye kabisa
  2. H

    Polisi wamtia mbaroni mfanyabiashara maarufu kwa kosa la kumlawiti mfanyakazi wake

    Wewee acha hizo ndio maana mvua hainyeshi ,kweli umpe mtu kwenye mavi kwa ajili ya elf 50,,haifai kwa afya yako,,pesa nini banaa utu wako ndio kitu cha maana pesa makaratasa tu ndugu
  3. H

    Aliyetaka kumuua Ponda !

    Ndugu zanguni kazi kubwa ya dini yoyote duniani ni kuhubiri amani na upendo,, ukiona kiongozi yoyote wa dini anahubiri chuki,uchochezi,huyu anamaslahi mengine na wala siyo wa kuunga mkono, ,,wakati mwenyezi mungu anaumba dunia ,alikuwa akitumia maneno kwa kusema kuwepo mchana na usiku, maji ya...
  4. H

    Mwenye info zozote za nyumba ya kupanga Arusha

    Sema mkubwa unataka nyumba maeneo gani?? na ya aina gani, kuna nymba ipo makao mapya ni self contain laki mbili na nusu kwa mwezi,,kama utakuwa tayari nikutumie number za simu uongee na mmiliki
  5. H

    Madawa ya kulevya

    Nimemsikiliza vizuri Dr Harrison Mwakembe, ni mtu mkweli anaonekana machoni Ila nimeshangaa tunakwenda wapi??wafanyabiashara wa madawa ya kolevya wanapesa ndefu sana,ukifwatilia nchi mbalimbali utaona vituko mimi namwomba sana asikurupuke na najua hatakurupuka maana kupoteza maisha ni dakika...
Back
Top Bottom