Povu jingine! ACT kwenye uchaguz wake wa kwanza 2015 iliweka Historia kuanzia kupata kiti cha mbunge kuongoza Hslmashauri,madiwani 50 kutoka halmashauri 11 mbalimbali nchini na kushika nafasi ya 3 kwa mgombea Urais! Tupo kwenye safari ya ujenzi wa chama kilicho anzishwa 2014! Nawewe upo kwenye...
Muulize Mnyika kile chama alichokuwa anakifuata nyuma nyuma na kuwapotosha wananchi wasikipokee kila kilipo pita kufanya ziara wakati kinatambulishwa katika nchi ya Tanzania.
Jiwe Gizani paaaa! Mtaelewa tu! Siasa zenu mnazijua sasa mmeanza kumlaumu Msigwa eti amuachie Sosopi sasa hiyo Demokrasia ipo wapi? Nakumbuka enzi zile Zitto aliambiwa amuachie Mbowe yaani hili hamna la kujifunza wala kujitetea chama chenu kinaongozwa na genge la watu wenye chama chao.
Ninaona niwaeleze wanajukwaa kuhusu uenyekiti wa Kanda ya nyanda za juu kusini mtapigana vikumbo,mtagombana ila Demokrasia ya Chadema ipo kwa pilato Mbowe! Mnajifanya hamjui kuwa Chama chenu kina ugonjwa wa kutoheshimu Demokrasia? Sosopi ni Mchunga ng'ombe na Msigwa ni Mchungaji wa kanisa bado...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.