Makamee.
Jamaa amesema pole "yao".
Unadhani neno "yao" ni akina nani kama sio moja kwa moja General8 anawalenga abiria?
Unadhani usumbufu watakao upata hapo hadi kupata usafiri mwingine na hasara ambazo wanaweza kuzipata hazihitaji "Pole"?
Habari zenu wakuu.
Labda niende moja kwa moja kwenye mada yangu ambayo ndiyo shida yangu kimsingi.
Kuna yeyote anayeifahamu au anahusika kwa namna moja au nyingine katika shule tajwa hapo juu.!?
Nina tatizo kubwa sana kuhusu mtu mmoja ambaye ni mfanyakazi wa shule hiyo,siwezi kuanika kila kitu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.