Recent content by Gx4

  1. G

    KERO Responded Wananchi Mti Mmoja - Monduli (Arusha) wanakunywa maji ya bwawa yaliyotuama, hakuna Huduma ya Maji ya Bomba

    C Utakuta hapo Kuna Mwenyekiti wa Kijiji,Diwani,Mbunge,mkuu wa wilaya, Mkuu wa Mkoa,n.k Ccm oyeee...kaaaazi kwelikweli
  2. G

    KERO Hali ya vyoo Olduvai Gorge inatisha, wageni wajisaidia nje

    Jiwe hakuwa na shida na watoa Taarifa za wazembe,...
  3. G

    KERO Hali ya vyoo Olduvai Gorge inatisha, wageni wajisaidia nje

    Kipindi Cha jiwe mpaka muda huu mtu angeshaliwa kichwa,,lakini kwa bie mkubwa atasema hili nalomkalitizame ndugu zangu,hivi mnajua vizuri sekta ya utalii inachangia asilimia ngapi katika Pato la Taifa?? Mama kula kichwa cha mtu kwa uzembe huu..Mnatakaa Wazungu wakajisadie porini???
  4. G

    DOKEZO Ukatili unaofanyika kwa watoto wa shule binafsi ya EXPERANCIA (Sengerema)

    Anapatikana wapi huyo mkurugenzi tumalizane naye tusisumbue Serikali Iko busy na maandazi ya uchaguzi wa Serikali za mitaa. Tunam P.didy then Tunampiga fire mpaka bichwa ilie bwahhhhhhh,,maana tumechoka Sasa..
  5. G

    Mzee Warioba akieleza jinsi Zanzibar walivyopora mamlaka ya raisi wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania na kujitoa kwenye muungano kinyemela!

    Muungan Muungano ni moja ya Tunu ya Taifa letu,lakini hizi kasoro za Muungano zinarekenishika,tuwe na Serikali 3 .ya Tanganyika,Ya Muungano na ya mapinduzi ya Zanzibar,Tayari katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya 1977 ina kinzana na katiba ya Zanzibar kwa marekebisho yalifanyika mwaka...
  6. G

    PreGE2025 Ingependeza Rais Samia apumzike 2025

    Binafsi ningependa mama yetu apumzike 2025,Tunahitaji Rais ambaye ni mzalendo,mwenye uchungu na Taifa hili,mwenye kuweza kulinda rasilimali za Taifa kwa manufaa ya kizazi hiki na kizazi kijacho,Rasilimali za Taifa zinufaishe wananchi kuliko wageni kama ilivyoelezwa katika katiba ya yetu,kwamba...
  7. G

    Heri ya kuzaliwa Jakaya Mrisho Kikwete, nguli wa diplomasia na mwanajeshi uliyeiva

    Jk ni kipenzi Cha wengi ni mtu mwungwana saana ,nakumbuka wakati alipokuwa amefika mwisho wa kipindi Cha utawala wake aliwahi kuulizwa na mwandishi mmoja wa habari kwamba Watanzania wakukumbuke kwa lipi? jibu lake lilikuwa short and clear ,kwamba kwenye utawala wake demokrasia ilishamiri saana...
  8. G

    Boniface Jackob akataa kutoa Maelezo Polisi, asema atayatoa Mahakamani

    Mimi nafikiri system ijikite kwenye critical issues kwa maslahi mapana ya Taofa,hao wanao criticize regime waachiwe idara ya polisi inatosha.
  9. G

    Maandamano ya "Samia Must Go" yatayeyuka kama yale ya UKUTA

    Maandamano ni njia mbadala ya wananchi kupaza sauti zao dhidi ya mauaji ya raia wasio na hatia,kazi mojawapo ya Serikali ni kulinda usalama wa raia na mali zao..lakini deep state iangalie kama kweli hao raia wanaopotea au kupotozwa ni real threat for National security au blaablaa tu..Mimi ni...
Back
Top Bottom