Mkuu kilimo cha zao hili ni ngumu kwa sababu hii
1. kwanza uandaa shamba
2.Ulime jembe la kwanza
3. Jembe la pili la kupandia
4. Bei ya mbegu bei iko juu.
5. Yakishaanza kuota, kanitangazi anaanza kufanya yake
6. Unanunua dawa, unaanza kuweka vibarua wa kupia hiyo dawa
7. Unaanza palizi la...
Mkuu Tate Mkuu umewasilisha jambo kubwa sana pamoja na ChawaWaMama kutokuona unachokilalamikia.....
Hiki kikokotoo peke yake ingetosha kuiweka ccm pembeni, walimu wangeamua kutoa elimu mitaani hawa wanyonyaji wasingeendelee kuwaibia wastaafu...
Jivunie kitu kingine duniani ila siyo kuwa mwanachama wa ccm...unajidhalilisha Tlaatlaah ...miaka 63 ya Uhuru nchi bado iko gizani....bora tungeendelea
Kuwa chini ya Ukoloni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.