Recent content by Gwallo

  1. Gwallo

    Bei ya Mahindi 2024 itamnyanyua au itamnyanyasa Mkulima?

    Mkuu kilimo cha zao hili ni ngumu kwa sababu hii 1. kwanza uandaa shamba 2.Ulime jembe la kwanza 3. Jembe la pili la kupandia 4. Bei ya mbegu bei iko juu. 5. Yakishaanza kuota, kanitangazi anaanza kufanya yake 6. Unanunua dawa, unaanza kuweka vibarua wa kupia hiyo dawa 7. Unaanza palizi la...
  2. Gwallo

    Bei ya Mahindi 2024 itamnyanyua au itamnyanyasa Mkulima?

    Kwa kuwa wewe una-access na mamlaka utusaidie, hii bei ya Mahindi ipande
  3. Gwallo

    Bei ya Mahindi 2024 itamnyanyua au itamnyanyasa Mkulima?

    Mimi ni mkulima mdogo, ila kwa kweli nikitoka salama mwaka 2024 Mahindi nitalima kwa ajili ya chakula cha familia yangu tu....
  4. Gwallo

    Nani ameona picha ya Gari ya Ole Sendeka iliyochakazwa kwa risasi?

    Labda wakati wanapiga risasi walimwomba ashuke kwanza kwenye gari
  5. Gwallo

    Waziri Bashe: Msimu wa 22/23 tulizalisha mahindi tani million 8.1 na mahitaji yetu ni tani million 6, Wizara itaanza kutoa Export Permit Bure!

    Waacheni wakulima wauze mahindi yao wanakotaka bila kufunga mipaka na kufungua....njaa kila mtu ajipigie mahesabu yake....
  6. Gwallo

    Nyumba ya mtoto wa Mbowe yakamatwa tayari kupigwa mnada

    Heka heka za kijani utaitambua tu
  7. Gwallo

    Ni aibu kubwa sana kwa CHADEMA kufanya maandalizi ya maandamano Arusha wakati wananchi na mkoa upo kwenye majonzi na simanzi ya kupoteza wapendwa wao

    Mfano wa Watanzania walio wapuuza CDM ni pamoja na Lucas mwashambwa kutwa nzima anawafuatilia. Kweli Watanzania wameipuuza CDM
  8. Gwallo

    CHADEMA imejishusha toka chama cha siasa hadi kikundi cha kinaharakati ilikoanzia

    CHADEMA ikipuuzwa na wananchi si ndiyo shangwe kwenu....tatizo liko wapi
  9. Gwallo

    Tujionee kwanza haya maajabu ya Kikokotoo kwa Watumishi wa Umma

    Mkuu Tate Mkuu umewasilisha jambo kubwa sana pamoja na ChawaWaMama kutokuona unachokilalamikia..... Hiki kikokotoo peke yake ingetosha kuiweka ccm pembeni, walimu wangeamua kutoa elimu mitaani hawa wanyonyaji wasingeendelee kuwaibia wastaafu...
  10. Gwallo

    Viongozi wa CHADEMA kwa Nini hawajathamiwa kanisani Azania Front?

    Ninyi mtu akizimia anaweza kwenda na maji...mko fasta sana
  11. Gwallo

    Interview ya Tundu Lissu yasitishwa Wasafi FM. Mwenyewe ang'ang'ania ofisi za Wasafi. Wakubaliana kuifanya wakati mwingine

    Jivunie kitu kingine duniani ila siyo kuwa mwanachama wa ccm...unajidhalilisha Tlaatlaah ...miaka 63 ya Uhuru nchi bado iko gizani....bora tungeendelea Kuwa chini ya Ukoloni
  12. Gwallo

    Freeman Mbowe kuongea na Waandishi wa Habari kwenye ofisi za Makao Makuu Mapya ya Chama Mikocheni

    Kwamba kwa kuwa ni Mwislamu upumbavu unaruhusiwa wewe johnthebaptist vipi
  13. Gwallo

    IDF wagundua kiwanda kikubwa cha makombora Gaza

    Usiwaruhusu wakutoe nje ya mstari
  14. Gwallo

    IDF wagundua kiwanda kikubwa cha makombora Gaza

    Mkuu Ritz habari, naona vijana wanakuvuruga kila wakati na mambo ya Gaza....na wewe una-respond huku umeweka pembeni busara za utu uzima...
Back
Top Bottom