Recent content by Gwallo

  1. Gwallo

    JamiiForums Tanzania John Heche amjibu Gerson Msigwa: Msemaji wa Serikali au Serikali inawezaje kuita watu Nguchiro

    Sisi tulikuwa nyuma ninyi mlikuwa mbele na mitutu
  2. Gwallo

    JamiiForums Tanzania Hongera mama: Tuliosema mauza uza yatatokea kabla ya uchaguzi tulikuwa sahihi kwa asilimia mia moja

    Imefungiwa nini mbona tuko hapa ?
  3. Gwallo

    JamiiForums Tanzania Mtibeli usijisahaulishe zimebaki siku mbili kufikia tar 7 tuone ukiaibika. Lisu hatutamtoa kwa ramli zenyu

    Kwa nini unahisi ni baba na mume wa mtu, na siyo mama na mke wa mtu ?
  4. Gwallo

    JamiiForums Tanzania GE2025 Makada: CHAUMMA hawana tofauti na CCM ni Wezi tu, tunarudi CHADEMA

    Mkuu Erythrocyte hata maandiko yanasema muwasamehe wale walioowakosea....nadhani wapokelewe ila waonywe
  5. Gwallo

    JamiiForums Tanzania GE2025 Wakimaliza kutumbuiza wanapewa bahasha zao halafu wanakuja kutukana mitandaoni kuwa hatufanyi kazi

    Sky Eclat nauombea unabii huu utimie....
  6. Gwallo

    JamiiForums Tanzania CCM kampeni zenu Maridhiano baada ya Uchaguzi na Katiba Mpya baada ya Uchaguzi si kwa Maslahi ya Taifa hili!

    Asante baba Askofu Bagonza, kwa sababu ulisema namna pekee ya kura yangu kuwa salama ni kutoitoa hiyo kura. Ila tumeambiwa mifumo inasomana huenda tayari tumeshampikia yule tusiyempenda
  7. Gwallo

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mapingamizi ya INEC kesi ya Mpina yatupwa, kesi ya msingi kusikilizwa Septemba 8

    Nami niliwaza hivi hivi
  8. Gwallo

    JamiiForums Tanzania GE2025 David Silinde: Samia ukipata kura chini ya 95% unipige bakora mbili

    Hayo ni maneno ya mtu anayejua jinsi mifumo ilivyoungana.
  9. Gwallo

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kilosa - Morogoro: Wana-CCM wadaiwa kupata ajali wakiwa kwenye lori wakielekea kwenye mkutano wa Samia Suluhu

    ccm inawatoa kafara Watanzania wenzetu.....na wao walivyowazembe hata hawajui
  10. Gwallo

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kilosa - Morogoro: Wana-CCM wadaiwa kupata ajali wakiwa kwenye lori wakielekea kwenye mkutano wa Samia Suluhu

    Mkuu mimi siko huko unakodhani ila ikija suala la kifo, majeruhi na ajali. Lazima niwe mwanadamu sintafurahi kabisa.
  11. Gwallo

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kilosa - Morogoro: Wana-CCM wadaiwa kupata ajali wakiwa kwenye lori wakielekea kwenye mkutano wa Samia Suluhu

    Pole yao Watz wenzangu. Ila kwani nini mnakubali kupakiwa kwenye malori kama mizigo na ccm ?
  12. Gwallo

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Yawezekana Ndani ya mwezi wa Tisa 2025 Jamaa anaachiwa Huru

    Tundu Lissu siyo mhaini, free him. Jinsi sera ya ccm ilivyopwaya kampeni ni kusomba wanadamu kama mifugo.
  13. Gwallo

    JamiiForums Tanzania BBC yarusha habari kuhusu wakosoaji wa Serikali wanaotekwa, kupotea au kuuawa

    Tundu Lissu siyo mhaini, free him. Jinsi sera ya ccm ilivyopwaya kampeni ni kusomba wanadamu kama mifugo. Ukiwakosoa kamata teka, tesa, poteza, kuua
Back
Top Bottom