Recent content by gvale

  1. G

    PreGE2025 Mchungaji Msigwa: Mliodhani nahama CHADEMA Mnajidanganya

    Mama alishasema ndani mwao kuna fukuta tuendelee kunywa mtori mda si mrefu tutaona mengi
  2. G

    PreGE2025 Babu tale atoa elf 50 Kwa kila mjumbe jimbon kwake

    Kwa haraka ni 40m na hao ndo ma HR ukizingatia bado mwaka mmoja iyo ni pesa ndogo sana kulingana na wanayovuna pale mjengoni
  3. G

    Ushauri kwa Wakili Mwabukusi kuelekea maandamano ya kitaifa

    Vipi bibi yetu nae kanyooka?
  4. G

    Rais Samia: Katiba mpya hadi watu wasome waelewe maana ya katiba hata hii tuliyonayo

    Inabidi tutambue jambo moja hata nusu ya watz hawatokuja kuelewa Juu ya vipengele vyote ktk katiba hata baada ya kupata elimu mchakato wa maoni ulishafanyika majority wakatoa maoni yao na pesa nyingi ikatumika wananchi tunaitaji katiba mpya
  5. G

    Tundu Lissu: Walimu wasisimamie uchaguzi

    Upinzani ni kujipanga from now na wasimamizi wao loyal nadhan kila kituo kikiwa na usimamizi mzuri na kura zikiwa nyingi mbona watashindwa kupindua matokeo ila wakiendelea kulialia ss watakua wanawaangalia uku wanagonga cheers
  6. G

    Australia wakamata ngozi halisi za Simba na Chui zilizotengenezwa kama mazulia kutoka Tanzania. TAWA yasema inafanya uchunguzi

    Ebu tupe sheria ya uuzwaji wanyama pori kama kweli wametoka tz na pia tupate statistics za mwaka na mapato yaliyopatikana
  7. G

    Australia wakamata ngozi halisi za Simba na Chui zilizotengenezwa kama mazulia kutoka Tanzania. TAWA yasema inafanya uchunguzi

    Kuna jamaa alikutwa na 20kg za tandala kama kitoweo na akala mvua ya 20yrs yaani kila 1 kg ni mwaka mmoja uwezi ona hatua zozote Juu ya hili imeenda hiyo
  8. G

    Ongezeko la bei ya mafuta: Je, Bunge lina meno ya kuiwajibisha EWURA?

    Ungetupa mtiririko wa bei yanapo agizwa hadi kufika ni shilingi ngapi then tuone mtiriko wa kodi hivi na ile 100 tayari imekua added per lita?
  9. G

    Tetesi: TANESCO 'kwazizima' Makamba kuhamishwa Nishati. Waendelea na 'mfungo'

    Sisi watanzania tunatamani Chande apelekwe bandarini akadhibiti wizi wa pale kwa mifumo yake ya tehama
  10. G

    CHADEMA Haina Mtu Anayeweza Kushindana na Rais Samia katika Sanduku la Kura uchaguzi Ujao

    Uchaguzi uwe huru na haki nadhan utarudi hapa ukiwa unalia
  11. G

    Mungu kwenye Quran kusema kwamba Jua hutuama kwenye kisima cha matope mazito alikuwa na maana gani?

    Kwahyo unakubali jua linazama kwenye matope ? Kaa tambua kukiwa usiku Tz au East Africa kuna nchi nyingine ni mchana na jua ndipo unapogundua dunia ndio inayo lizunguka jua
  12. G

    Zanzibar ni nchi huru au ni sehemu ya Tanzania?

    Unaweza kutusaidi kufahamu mipaka ya Tanganyika na Zanzibar tuanzia hapo
  13. G

    Mama wa miaka 60 na mwanae miaka 40 jela miaka 20 kisa vipande vya nyumbu

    Viongozi wamejiwekea na Kinga kabisa hapo ukute watu hali ni mbaya kimaisha ivo vipande vilikua ni kitoweo chao ... Ubadhirifu wa mamilioni utasikia msimamishe kazi uchunguzi ufanywe imeisha iyoo
  14. G

    Mzee Makamba ahamaki alipoulizwa kuhusu mgao wa umeme nusu amlambe vibao mwandishi wa habari

    Ccm Ina mda gani madarakani mbona Mzee kapanic sana
  15. G

    Kumbukumbu za ulimwengu (World Archives)

    Inamaana alikua black? #mshana
Back
Top Bottom