Hilo swali angeulizwa yule aliewapa mtaji wa kuanzisha vyama miaka ile ya 1990's ili kupanua demokrasia Tanzania
Je unaweza mdharau aliyekupa mtaji ,Sio kitu rahisi sana kwa mtu mwenye akili timamu kama Mbowe
Hiyo nafasi ya uenyekiti atakuja kurithishwa Mkwe ambae ataheshimu historia...
Mimi nafahamu ukweli,Tatizo linakuja kwa wafuasi wake kama@Yericko Nyerere ambao wanamuona Mbowe ni Immortal na kutwa wanaimba mapambio hapa JF kwa verse;
"Mbowe is living Forever"
"Mbowe will never decay"
"Mbowe will never die"
Sasa kama akina Yericko Nyerere wanaamini bila Mbowe hakuna...
Wanabodi,
Kuna wakati wafuasi wa kanisa la Full gospel Bible church linaolomilikiwa na Askofu Zakaria Kakobe waliwahi kudai hati za ardhi za kanisa na viwanja wakijua zimeandikwa jina la kanisa wakaja kushtuka wamepigwa na kitu kizito mahakamani ,Kumbe lile kanisa ni mali ya kakobe viwanja...
ELie Mpanzu miaka 22 kutoka congo atatambulisha hivi karibuni mitaa ya msimbazi
Elie Mpanzu alikuwa mchezaji wa As Vita club ambaye mkataba wake umetamatika msimu huu,Kwa mujibu wa manager wa Mpanzu na taratibu za Congo mkataba ukitamatiki mchezaji ni mali ya club yake ya kwanza ambayo pia...
Tukumbushane zile kelele zenu za DP world ziliishia wapi? Na zile kelele za report ya CAG ziliishia wapi?
Kwa ufupi watanzania wengi ni wasahaulifu na bendera fuata upepo,
Ni vyema vijana wakaendelea kujikita kwenye mambo ya simba na Yanga ,
Vichekesho ni pale watu wa upinzani badala ya...
Mchezaji aliyeachwa na Young Africans, Joseph Guede leo amekuwa mchezaji kamili wa Singida black stars, ameungana na akina Kennedy Juma kuitumikia Singida Black stars
Mpira wa Tanzania unaendeshwa na wakubwa wachache sana na wao ndio wenye nguvu kwa wachezaji, wana uwezo wa kumzungusha mchezaji...
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam bwana Albert chalamila juzi alikiri mbele ya Rais Samia siku ya upokeaji wa taarifa ya haki jinai nchini kuwa sasa ameacha ujinga na kuruka ruka kuwabughuzi wananchi bali atazingatia sheria, taratibu na kanuni za nchi.
Albert Chalamila mbele ya Rais Samia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.