Solution yangu ni ku solve hasa kwa wasiodai risiti kabisa. Kama atakupunguzia na kukupa risiti its OK. Kumbuka ukidai risiti unarudishiwa pesa yako ambayo ni 1% ya VAT uliyotozwa.
Taarifa anazojaza kwenye EFD ndio hizo hizo atajaza kwenye App ya TRA utofauti ni kuwa kwenye EFD aki submit inatoka risiti ya karatasi ila kwenye huu mfumo utatuma sms automatically kwa mteja simple as that
kwahiyo unataka kusema EFD machine pia hawawezi kuzitumia? Maana kwenye mfumo anachojaza ni bidhaa, bei na namba simu ya mteja tu. Kama ambavyo angejaza kwenye EFD machine.
Kwenye huu mfumo kinachobadilika ni kuwa mfanyabiashara hatatumia machine EFD bali atajza taarifa za ununuzi kwenye mfumo kama kwenye EFD ikiwemo na namba ya simu ya anayenunua then aki submit mteja anatumiwa sms ya risiti yake.
Habari za wakati huu wadau wa maendeleo, leo nimekuja tena kuangazia namna TRA inaweza kuchukua hatua ili iweze kuongeza ukusanyaji wa mapato nchini. Kama tunavyojua kodi ndio inayotumika kufanya maendeleo na kugharamia shughuli za kila siku za serikali, lakini TRA inashindwa kukusanya mapato ya...
Utangulizi:
Utawala bora ni msingi wa jamii inayofanya kazi vizuri na yenye ustawi. Inajumuisha kanuni kama vile uwazi, uwajibikaji, utawala wa sheria, na ushiriki wa raia. Ingawa kanuni hizi ni muhimu kwa utawala bora, jukumu la uzalendo halipaswi kupuuzwa. Uzalendo, upendo na kujitolea kwa...
Leo ningependa kuongelea kuhusu mfumo wa utambuzi unaotumika hapa nchini kwetu. Mimi binafsi nashindwa kuelewa kwanini inapofika swala la utambuzi kunakuwa na uchaguzi kadhaa za utambuzi mfano unaweza kuambiwa ulete kitambulisho cha taifa, kadi ya mpiga kura, leseni ya udereva au pasi ya...
Kwenye hatua ya kwanza kama nilivyosema lazima ujue jamii inachangamoto gani. Changamoto zipo nyingi sana hata mtaani kwako na nyingine ni za kitaifa au kidunia kabisa, kwahiyo kadiri changamoto inavyokua kwa watu wengi basi ndio unajihakikishia soko kubwa.
Tunaendela kwa mifano sasa ili upate...
Habari ya muda huu wana jukwaa, leo ningependa kuwapa faida ya namna ya kuanzisha au kukuza biasra kwakutumia mbinu ambazo zinafanyakazi hasa katika mazingira yetu ya kiafrika.
Wengi wetu tunapotaka kuanzisha biashara tunajiuliza kuwa ni biashara gani inalipa ili uweke pesa zako zikupatie...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.