Huyu Dada alitoa jina ila tume walirudisha jina,na mtatiro wala hajalalamika,na alipendekeza Dada apewe viti maalum, wala Dada hana kosa tume ndiyo waliogoma kutoa jina
Mpo hapa kazi tu wakati mnadhurula barabarani tu,mnakaa kwa Shemeji zenu,walionakazi zao hawaipendi system,nyie msiokuwa na mbele na nyuma muda wote mpo kwenye simu tu,mpo hapa kazi tu,wakati mnataabika tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.