Najitokeza kwenu wadau kuwaomba ushauri
Mimi ni kijana(mwanaume) mwenye nyumba wangu huyu mwanamama huwa ananisumbua sana ananitaka kimapenzi japo anamume wake anayeishi nae kwenye nyumba hiyohiyo niliyopanga.
Huwa anakuja kunigongea mlango usiku akitaka kulala chumbani kwangu naombeni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.