Recent content by GUMISHA

  1. G

    Nafasi za kazi - shop supervisor (1), inventory controller(1) na shop attendat (3)

    Wanahitajika watu kujaza nafasi za kazi. TANGAZO KAMILI NI HILI LIFUATALO: Applications are invited to fill in the following vacant posts in our organisation: 1. Shop Supervisor - 1 post 2. Inventory Controller - 1 post 3. Shop Attendant - 3 posts Mode of Application for all posts...
  2. G

    Vituko vya Jerry Silaa na Eugene Mwaiposa barabara ya Mombasa - Moshi bar

    Ndugu zangu Jana naona wakandarasi wamekuja kusawazisha. Naamini Uzi huu utakuwa umedaidia maana hata jinsi kazi ilivyofanyika yaonekana ilikuwa ya harakaharaka yaani BORA LIENDE tu. Inaonekana jamaa wamefanya harakaharaka kazi ionekane imefanyika. Sio nzuri kihivyo lakini yeyote aliyefanikisha...
  3. G

    Vituko vya Jerry Silaa na Eugene Mwaiposa barabara ya Mombasa - Moshi bar

    Wanajamvi, Nimeshangazwa sana na watu hawa. Wiki 7 (karibu miezi 2) zilizopita lilipita gari la matangazo njia yote kutoka Mombasa hadi Moshi Bar likitaarifu kuanza kujengwa kwa kiwango cha lami varabara ya Mombasa - Moshi Bar. Tangazo lilikuwa. Hivi " Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilala Mh...
  4. G

    Mfanyakazi wa stationery anahitajika

    Kwa kweli Kwa shida ya usafiri ilivyo mfanyakazi kama anapangishiwa chumba maeneo ya karibu na ofisi nianze kuuliza Kwa ndugu na jamaa mwenye uzoefu aweze kupata Kazi hiyo
  5. G

    naitaji shamba bei chee

    Hayo MASHAMBA hayana madalali? Maana madalali NATO noma
Back
Top Bottom