Can smokeless tobacco affect my oral health?
It may cause tooth decay in exposed tooth roots. It can also cause your gums to pull away from your teeth. If this happens, your gums will not grow back.
Additionally, leathery white patches and red sores are common in dippers and chewers. Those...
Baadhi ya madhara ya dawa za kuongeza nguvu za kiume ni kuumwa na kichwa, kuharisha, kichefuchefu na kizunguzungu.
Watumiaji chache wanakabiliwa na madhara haya.
Madhara haya ni kawaida kwa watu wale ambao hubadili dawa mara kwa mara bila kufuata ushauri wa daktari.
Haya mambo ya kilele ni two way traffic,ni hivi kama wewe ni mama fanya mazoezi ya kubana papuchi ili friction iongezeke,pia usipendelee kifo cha mende style ,hapo juu naona umeshauriwa style,pia kama utatumia kifo cha mende nyoosha miguu alafu bana baba apite utaniambia hata ukisikia utamu...
Kawaida binadamu ana meno 32 sasa kama wewe una 34 itakuwa siyo sawa.Pili magego huwa yanauma kwa watu wote na sidhani kama kuna dawa mpaka jino limalize hatua yake ya kukua.
Hili ni tatizo kaka,angekuwa kajifungua salama tungesema jitahidi kulea...ila kikawaida si vizuri mtu aliyejifungulia kisu kuwahi kubeba mimba ,unatakiwa ukae miaka miwili ili layer za ngozi ziwe zimepona.Japo kuna wifi yangu aliwahi kuzaa baada ya mwaka kwa njia ya C japo alikuwa hafanyi kazi...
Yaani hilo sio tatizo tukifuata tarehe hapo juu ni kwamba tarehe 14 hadi 17 ulikuwa ovulation na ute kutoka ni kawaida kabisa ndo inavotakiwa,sasa hapo kinachotakiwa ni mazoezi tu ya kawaida na kwa kipindi hiki ndo unaweza pata ujauzito.Yess wakati mwingine ute unakuwa mwingi ila unaweza ukavaa...
Mambo yanayochangia kuongeza hatari ya maambukizi ya virusi vya UKIMWI kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto
• Mama kuambukizwa virusi vya UKIMWI wakati wa ujauzito au wakati wa kunyonyesha:
Nyakati hizi mama ana virusi vya UKIMWI vingi kwenye damu na hivyo uwezekano wa kumwambukiza mtoto...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.